Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Not everybody in CCM is escrow crook: Mwigulu

>Deputy CCM secretary general Mwigulu Nchemba has expressed disdain at voters who punished the party’s candidates in the recently held civic elections on the basis the Tegeta escrow account scandal, saying they had passed the right judgment on wrong people.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU HABARI NYINGINE HUKO IRAMBA MBIO ZA UBUNGE NDANI YA CCM,JAIRO NA WENZAKE WAJITOA,MWIGULU KUSHINDA KWA KISHINO

Mwigulu Nchemba akiondoka Viwanja vya Shelui mara baada ya Mkutano wa Kampeni Kumalizika.Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wake Kata ya Shelui wakati wa Mkutano wa Kampeni ya kura ya Maoni za UBunge kuwania kuteuliwa kupeperusha Bendera ya CCM Wilaya ya IrambaMwigulu Nchemba akilakiwa na Wananchi wake kijiji cha Tulya wilayani Iramba wakati wa kampeni za Kura ya Maoni ya kuwania Ubunge ndani ya CCM.
Mwigulu Nchemba akifurahia mwenendo wa kampeni za kura ya maoni na Wananchi wake.

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA ATEMA SUMU,WEZI WA ESCROW/IPTL WAKAMATWE,WAFILISIWE,WAFUNGWE.KUJIUZULU TU HAITOSHI.

Imenukuliwa Kutoka Gazeti la Mwananchi(www.mwananchi.co.tz)

Habari zaidi kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alitoa msimamo mkali kuhusu sakata hilo la escrow na kwamba ametaka hatua zichukuliwe kwa wahusika wote.
Katika kikao hicho inaelezwa kwamba Nchemba alionyesha msimamo wake waziwazi kuwa sakata hilo ni hujuma  na kwamba haiwezekani walioiba fedha hizo wakaachiwa tu hivihivi.
Ndani ya kikao hicho imeelezwa kuwa Mwigulu alijitokeza na kusema...

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU WA CHADEMA WILAYA YA DR.SLAA AHAMIA CCM,MWIGULU AMVUNA KWA MANUFAA YA CCM NA TANZANIA

Mh:Mwigulu Nchemba akiwaisli viwanja vya
Mkutano Karatu Mjini.Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa karatu Mjini mapema hii leo asubuhi majira ya saa tatu wakati akisisitiza kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa Kufanyika tar.14.12.2014.Mwigulu akimtambulisha Mwanachama mpya wa CCM ambaye alikuwa katibu wa CHADEMA Wilaya ya karatu ndugu.Raulenti Bonta.Kadi na baadhi za Vifaa vya CHADEMA ambavyo vimerudishwa hii leo kwa mwigulu Nchemba...

 

5 years ago

SB Nation

‘Animal Crossing’ raccoon Tom Nook is a capitalist crook

‘Animal Crossing’ raccoon Tom Nook is a capitalist crook  SB NationAnimal Crossing: New Horizons Is Missing A Classic Item And Fans Are Upset  Screen RantAnimal Crossing: New Horizons Might Be Just What We Need In These Times  Geek CultureAnimal Crossing's fake language is different in Japan, and here's why  PolygonAnimal Crossing New Horizons: How to Not Get Stung by Wasps  SuperParentView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yajiweka kando kauli ya Mwigulu

>Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejiweka kando na kauli ya naibu katibu mkuu wake, Mwigulu Nchemba aliyoitoa kwamba Bunge Maalumu la Katiba lijitathmini kama lina ulazima wa kuendelea kutokana na uwezekano mdogo wa wajumbe wake kufanya uamuzi.

 

11 years ago

GPL

MWIGULU AMNADI MOMBEA WA CCM KALENGA

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mwigulu Nchemba akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mdogo Jimbo la Kalenga, Gedfrey Mgimwa, katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ifunda, Iringa Vijijini. (Picha na Bashir Nkoromo)

 

10 years ago

Mtanzania

Wasira, Mwigulu nao wajitosa urais CCM

MWIGULUWASIRA muda huuHEKAHEKA za kuwania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais zinazidi kupamba moto baada ya makada wengine wawili, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kutangaza kujitosa katika mbio hizo jana.
Wakati Wasira akitangaza kuhakikisha analeta mageuzi mpya kwa taifa, Mwigulu ameahidi Watanzania kuumiliki uchumi.
Wasira ambaye ni Mbunge wa Bunda, amekuwa ni kada wa pili huku Mwigulu akiwa wa tatu kutangaza nia ya kuwania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani