Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati Kuu CCM kujadili vigogo Escrow

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape NnauyeIMEELEZWA kuwa, maamuzi yote ya kikao cha Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM kilichokutana juzi, kujadili masuala ya kimaadili kwa wanachama wake wanaotajwa kuhusika katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), yatafikishwa katika Kamati Kuu ya Chama kwa hatua zaidi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kamati Kuu CCM ilikesha Dodoma kuwasulubu vigogo

>Kamati Kuu ya CCM ilikesha katika kikao kilichofanyika usiku wa kuamkia juzi, ambacho kiliwapa adhabu ya kuwa chini ya uangalizi wa miezi 12, vigogo sita, baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kuanza mapema kampeni za kuusaka urais wa 2015 kabla ya muda uliowekwa na chama hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Kamati Kuu CCM kujadili migogoro ya ardhi Karagwe

TATIZO la migogoro ya ardhi, ukiwamo wa ranchi ya Kitengule, wilayani hapa, linatarajiwa kufikishwa katika Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kutafutiwa ufumbuzi.

 

9 years ago

Michuzi

JK alipotua Dodoma kuongoza kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kujadili majina ya walioomba kugombea Uspika

 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili mjini Dodoma kwa ajili ya kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu itakayojadili majina ya wana-CCM walioomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wana CCM alipowasili mjini Dodoma kwa ajili ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Escrow, urais vyatikisa Kamati Kuu ya CCM

Pg 1NA ELIAS MSUYA, ZANZIBAR
KIKAO cha Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichoketi jana mjini Unguja, Zanzibar chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete, kilitawaliwa na mjadala wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, imeelezwa.
Akizungumza jana jioni baada ya kikao hicho, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema miongoni mwa mambo yaliyojadiliwa ni pamoja na Akaunti ya Tegeta Escrow, maadili ya viongozi na uchaguzi ndani ya chama hicho.
“Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa

2

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua  Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa  pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 

10 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Dodoma

 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba Mhe Samwel Sitta alioowasili kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwenye ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM Dodoma Agosti 19, 2014. Kulia ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda, kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora), Mhe George Mkuchika akifuatiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Rehema Nchimbi Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete...

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati Kuu Chadema yaitwa kujadili uchaguzi

Kamati Kuu ya Chadema, inatarajia kukutana kwa dharura kujadili uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

10 years ago

Habarileo

Kamati Kuu Chadema kujadili Katiba, uchaguzi

SIKU chache baada ya kukamilika kwa mchakato wa kuandika Katiba Inayopendekezwa, Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inatarajiwa kukutana kwa siku mbili kuanzia leo jijini Dar es Salaam kujadili pamoja na mambo mengine, mchakato wa mabadiliko ya Katiba.

 

9 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CCM JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA CCM, AKUTANA NA MWAKILISHI WA BENKI YA DUNIA

 Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa jijini Dar es salaam leo Desemba 7, 2015.  Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani