Nyambui aitupia zigo mikoa
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amevitupia lawama vyama vya mchezo wa Riadha vya Mkoani kwa maandalizi duni ya wanariadha wao ambao wamewakilisha katika mashindano ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Roberto Martinez aitupia lawama FA
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa Klabu ya Everton, Roberto Martinez, amekitupia lawama Chama cha Soka nchini Uingereza kwa utaratibu wa dirisha la usajili kuwa wazi wakati Ligi Kuu ikiwa inaendelea.
Martinez amesema kuwa hali hiyo itawafanya wachezaji wasifikirie michezo inayokuja na kuwazia juu ya kusajiliwa.
Ligi hiyo imeanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki iliyopita lakini dirisha la usajili linatarajia kufungwa Septemba 1 mwaka huu.
Martinez ameyaeleza hayo baada ya kutoka sare ya 2-2 dhidi ya...
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Mourinho aitupia lawama safu ya ulinzi
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho, ametupia lawama safu ya ulinzi ya klabu hiyo baada ya kupokea kichapo cha
mabao 2-1 dhidi ya Porto.
Kocha huyo amesema mpaka sasa hajui ubora wa kikosi chake kwa kuwa kimepoteza michezo mingi ya Ligi Kuu nchini England.
“Kuna tatizo kwa upande wa safu ya ulinzi na ndio maana tunapoteza baadhi ya michezo, hii inatokana na kukosa mawasiliano lakini ninaamini nina mabeki wazuri ambao wana uwezo mkubwa na wala sina wasi wasi.
“Matatizo yanakuja...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Rais CWT aitupia lawama Serikali
9 years ago
Bongo530 Sep
Kala Jeremiah aitupia lawama BASATA
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Samia aitupia dongo Wilaya ya Hai
Patricia Kimelemeta na Omary Mlekwa,Hai
HALMASHAURI ya Wilaya ya Hai imedaiwa kuwa miongoni mwa wilaya zinazoongoza kwa kupokea na kutoa rushwa, hali iliyosababisha baadhi ya miradi ya maendeleo kukwama.
Hayo yalibainishwa na mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Foo, Kata ya Machame Kaskazini.
Alisema fedha za miradi ya maendeleo zilizokuwa zinatolewa na Serikali hazijatumika kwa malengo yaliyokusudiwa jambo ambalo...
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Michel Platini aitupia lawama UEFA
11 years ago
Mwananchi07 May
Ndikilo aitupia SSRA ‘kaa la moto’
11 years ago
TheCitizen03 May
Nyambui says Sekilu is a liar
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Nyambui: Tujitoe Madola
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui, ameitaka Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), kuifuta Tanzania kushiriki mashindano ya kimataifa hadi itakapokuwa imefanya maandalizi ya kutosha. Kauli hiyo...