Michel Platini aitupia lawama UEFA
Michel Platini ameitupia lawama UEFA,na kusema walikuwa wanalala usingizi kwa miaka 4 kabla ya kumzuia kujishughulisha na soka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Michel Platini kuwania urais wa FIFA
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Roberto Martinez aitupia lawama FA
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa Klabu ya Everton, Roberto Martinez, amekitupia lawama Chama cha Soka nchini Uingereza kwa utaratibu wa dirisha la usajili kuwa wazi wakati Ligi Kuu ikiwa inaendelea.
Martinez amesema kuwa hali hiyo itawafanya wachezaji wasifikirie michezo inayokuja na kuwazia juu ya kusajiliwa.
Ligi hiyo imeanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki iliyopita lakini dirisha la usajili linatarajia kufungwa Septemba 1 mwaka huu.
Martinez ameyaeleza hayo baada ya kutoka sare ya 2-2 dhidi ya...
9 years ago
Bongo530 Sep
Kala Jeremiah aitupia lawama BASATA
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Mourinho aitupia lawama safu ya ulinzi
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho, ametupia lawama safu ya ulinzi ya klabu hiyo baada ya kupokea kichapo cha
mabao 2-1 dhidi ya Porto.
Kocha huyo amesema mpaka sasa hajui ubora wa kikosi chake kwa kuwa kimepoteza michezo mingi ya Ligi Kuu nchini England.
“Kuna tatizo kwa upande wa safu ya ulinzi na ndio maana tunapoteza baadhi ya michezo, hii inatokana na kukosa mawasiliano lakini ninaamini nina mabeki wazuri ambao wana uwezo mkubwa na wala sina wasi wasi.
“Matatizo yanakuja...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Rais CWT aitupia lawama Serikali
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Mbatia aitupia lawama Serikali ajali ya Iringa
9 years ago
Bongo521 Dec
Sepp Blatter na Michel Platini wafungiwa miaka nane na FIFA
![article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/article-3368574-2F8B77F800000578-706_964x373-300x194.jpg)
Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA, imewafungia Sepp Blatter na Michel Platini kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miaka 8 kufuatia kukutwa na kosa la ubadhilifu wa fedha na kupigwa faini.
Maamuzi hayo yalitangazwa siku ya Jumatatu mjini Zurich, yamedhihirisha mwisho halisi wa uongozi wa soka kwa Blatter na Platini wote wakiwa hawana uwezo kugombea urais wa FIFA Februari 26.
Chombo cha upelelezi kilipendekeza kuwafungia maisha baada ya kuwepo na taarifa zisizo...
9 years ago
Bongo514 Nov
FIFA yawaondoa Musa Bility na Michel Platini katika kinyang’anyiro cha Urais
![platini-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/platini-1-300x194.jpg)
Kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka duniani FIFA, imeondoa majina mawili katika kinyang’anyiro cha Urais.
Mmoja wa waliondolewa ni Musa Bility ambaye ni Rais wa chama cha soka cha nchini Liberia. Kamati hiyo imemuondoa Bility kwa sababu za uadilifu baada ya kumchunguza na kujiridhisha kuwa hana sifa ya kubaki kuwa mgombea wa Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika February 26 mwaka huu.
Mwingine aliyeondolewa katika kinyang’anyiro hicho ni Rais wa UEFA Michel Platini.
Platini...
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika …
Baada ya uchnguzi wa kina kufanyika na wachunguzi wa shirikisho la soka ulimwenduni FIFA wameamua kutoa adhabu ya kuwafungia miaka nane kutojihusisha na masuala ya soka aliyekuwa Rais wa soka ulimwenguni FIFA Sepp Blatter na Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini. Blatter na Platini wamekumbana na adhabu hiyo baada ya kukutwa na […]
The post Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika … appeared first on TZA_MillardAyo.