Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Roberto Martinez aitupia lawama FA

Roberto MartinezLONDON, ENGLAND

KOCHA wa Klabu ya Everton, Roberto Martinez, amekitupia lawama Chama cha Soka nchini Uingereza kwa utaratibu wa dirisha la usajili kuwa wazi wakati Ligi Kuu ikiwa inaendelea.

Martinez amesema kuwa hali hiyo itawafanya wachezaji wasifikirie michezo inayokuja na kuwazia juu ya kusajiliwa.

Ligi hiyo imeanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki iliyopita lakini dirisha la usajili linatarajia kufungwa Septemba 1 mwaka huu.

Martinez ameyaeleza hayo baada ya kutoka sare ya 2-2 dhidi ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah aitupia lawama BASATA

Kala Jeremiah anaamini kuwa hatua ya Baraza la Sanaa Taifa, BASATA kuifungia ngoma ya Roma Mkatoliki ‘Viva Roma’ ni sawa na kuingilia na kuvuruga demokrasia. Akizungumza na kipindi cha The Jump Off cha Times FM, Kala alisema kama tatizo ni ushahidi wa kile alichokiimba Roma,nyimbo zote zinapaswa kufungiwa kwa kuwa hazina uhalisia. “Ushahidi gani unautaka?” […]

 

9 years ago

Mtanzania

Mourinho aitupia lawama safu ya ulinzi

Manchester United v Chelsea - Premier LeagueLONDON, ENGLAND

KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho, ametupia lawama safu ya ulinzi ya klabu hiyo baada ya kupokea kichapo cha
mabao 2-1 dhidi ya Porto.

Kocha huyo amesema mpaka sasa hajui ubora wa kikosi chake kwa kuwa kimepoteza michezo mingi ya Ligi Kuu nchini England.

“Kuna tatizo kwa upande wa safu ya ulinzi na ndio maana tunapoteza baadhi ya michezo, hii inatokana na kukosa mawasiliano lakini ninaamini nina mabeki wazuri ambao wana uwezo mkubwa na wala sina wasi wasi.

“Matatizo yanakuja...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais CWT aitupia lawama Serikali

Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba ameirushia lawama Serikali kwamba inatumia fursa ya upole wa walimu kuwakandamiza kwa kutowalipa madeni yao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Michel Platini aitupia lawama UEFA

Michel Platini ameitupia lawama UEFA,na kusema walikuwa wanalala usingizi kwa miaka 4 kabla ya kumzuia kujishughulisha na soka.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbatia aitupia lawama Serikali ajali ya Iringa

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa ,James Mbatia amesema kwamba  ajali  iliyotokea eneo la Mafinga Changalawe mkoani Iringa ilikuwa imepangwa na binadamu na wala sio mipango ya Mungu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyambui aitupia zigo mikoa

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amevitupia lawama vyama vya mchezo wa Riadha vya Mkoani kwa maandalizi duni ya wanariadha wao ambao wamewakilisha katika mashindano ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Ndikilo aitupia SSRA ‘kaa la moto’

 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ametaka Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Jamii (SSRA) kutafuta ufumbuzi wa malalamiko ya wafanyakazi hasa utoaji wa mafao kwa wastaafu.

 

9 years ago

Mtanzania

Samia aitupia dongo Wilaya ya Hai

Bi.-Samia-SuluhuPatricia Kimelemeta na Omary Mlekwa,Hai

HALMASHAURI ya Wilaya ya Hai imedaiwa kuwa miongoni mwa wilaya zinazoongoza kwa kupokea na kutoa rushwa, hali iliyosababisha baadhi ya miradi ya maendeleo kukwama.
Hayo yalibainishwa na mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Foo, Kata ya Machame Kaskazini.
Alisema fedha za miradi ya maendeleo zilizokuwa zinatolewa na Serikali hazijatumika kwa malengo yaliyokusudiwa jambo ambalo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani