Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbatia aitupia lawama Serikali ajali ya Iringa

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa ,James Mbatia amesema kwamba  ajali  iliyotokea eneo la Mafinga Changalawe mkoani Iringa ilikuwa imepangwa na binadamu na wala sio mipango ya Mungu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rais CWT aitupia lawama Serikali

Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba ameirushia lawama Serikali kwamba inatumia fursa ya upole wa walimu kuwakandamiza kwa kutowalipa madeni yao.

 

10 years ago

Mtanzania

Roberto Martinez aitupia lawama FA

Roberto MartinezLONDON, ENGLAND

KOCHA wa Klabu ya Everton, Roberto Martinez, amekitupia lawama Chama cha Soka nchini Uingereza kwa utaratibu wa dirisha la usajili kuwa wazi wakati Ligi Kuu ikiwa inaendelea.

Martinez amesema kuwa hali hiyo itawafanya wachezaji wasifikirie michezo inayokuja na kuwazia juu ya kusajiliwa.

Ligi hiyo imeanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki iliyopita lakini dirisha la usajili linatarajia kufungwa Septemba 1 mwaka huu.

Martinez ameyaeleza hayo baada ya kutoka sare ya 2-2 dhidi ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Mourinho aitupia lawama safu ya ulinzi

Manchester United v Chelsea - Premier LeagueLONDON, ENGLAND

KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho, ametupia lawama safu ya ulinzi ya klabu hiyo baada ya kupokea kichapo cha
mabao 2-1 dhidi ya Porto.

Kocha huyo amesema mpaka sasa hajui ubora wa kikosi chake kwa kuwa kimepoteza michezo mingi ya Ligi Kuu nchini England.

“Kuna tatizo kwa upande wa safu ya ulinzi na ndio maana tunapoteza baadhi ya michezo, hii inatokana na kukosa mawasiliano lakini ninaamini nina mabeki wazuri ambao wana uwezo mkubwa na wala sina wasi wasi.

“Matatizo yanakuja...

 

9 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah aitupia lawama BASATA

Kala Jeremiah anaamini kuwa hatua ya Baraza la Sanaa Taifa, BASATA kuifungia ngoma ya Roma Mkatoliki ‘Viva Roma’ ni sawa na kuingilia na kuvuruga demokrasia. Akizungumza na kipindi cha The Jump Off cha Times FM, Kala alisema kama tatizo ni ushahidi wa kile alichokiimba Roma,nyimbo zote zinapaswa kufungiwa kwa kuwa hazina uhalisia. “Ushahidi gani unautaka?” […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Michel Platini aitupia lawama UEFA

Michel Platini ameitupia lawama UEFA,na kusema walikuwa wanalala usingizi kwa miaka 4 kabla ya kumzuia kujishughulisha na soka.

 

11 years ago

Mwananchi

Dar waishushia lawama Serikali

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inadaiwa hadi sasa haijatoa kiasi chochote cha pesa ili kuziwezesha Manispaa za Dar es Salaam kudhibiti homa ya dengue, badala yake imetoa vipeperushi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Prof Lipumba, Mbatia, Zitto waichana Serikali

Dar es Salaam. Viongozi wa vyama vya siasa vya CUF, NCCR-Mageuzi, NLD na ACT-Wazalendo wameitupia lawama Serikali kwa kushindwa kutekeleza maagizo yanayotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

9 years ago

Mwananchi

Ajali yaua 12 Iringa, 28 taabani

Abiria 12 wamefariki leo huku wengine 28 wamejeruhiwa mara baada ya basi la kampuni ya New Force kugongana na lori maeneo ya Igeme, Kilolo leo mchana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani