Dar waishushia lawama Serikali
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inadaiwa hadi sasa haijatoa kiasi chochote cha pesa ili kuziwezesha Manispaa za Dar es Salaam kudhibiti homa ya dengue, badala yake imetoa vipeperushi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Rais CWT aitupia lawama Serikali
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.
Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Mbatia aitupia lawama Serikali ajali ya Iringa
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Manji ajibebesha lawama
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji, amewataka wanachama na mashabiki kumbebesha lawama za kipigo kutoka kwa Simba walichokipata katika pambano la Nani Mtani Jembe, lililofanyika juzi Uwanja wa Taifa, Dar es...
10 years ago
Mwananchi20 Mar
LAWAMA KAMA NI SUMU
9 years ago
Habarileo07 Oct
Samatta akubali kubeba lawama
MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amesema wapo tayari kulaumiwa na mashabiki endapo watashindwa kuifunga Malawi leo. Samatta aliyasema hayo jana baada ya mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Malawi wa kutafuta kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazofanyika Urusi.
9 years ago
Mtanzania17 Aug
ajivua lawama urais CCM
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete ameanza kujivua lawama kuhusu mchakato wa urais baada ya kusema mwanachama yeyote wa chama hicho anayetoka kwa sasa anafanya hivyo kwa hiari na mapenzi yake.
Ametoa kauli hiyo huku kukiwa na wimbi la makada wa CCM wakihama chama hicho kwa madai ya kutoridhishwa na mchakato wa kumpata mgombea urais
Kikwete amesema uamuzi huo ulifanyika kwa mujibu wa Katiba ya CCM na zilipigwa kura ndani ya...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Rage ajivua lawama Simba
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Mario Balotelli aepuka lawama