Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manji ajibebesha lawama

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji, amewataka wanachama na mashabiki kumbebesha lawama za kipigo kutoka kwa Simba walichokipata katika pambano la Nani Mtani Jembe, lililofanyika juzi Uwanja wa Taifa, Dar es...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Samatta ajibebesha mzigo TP Mazembe

SamataNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga TP Mazembe (DRC), Mbwana Samatta, amejibebesha mzigo baada ya kudai kuwa anataka kuiachia timu hiyo taji la Ligi ya Mabingwa Afrika kabla ya kutimkia Ulaya mwakani.

Samatta aliyeivusha TP Mazembe hadi nusu fainali ya michuano hiyo wikiendi iliyopita kwa kufunga mabao matatu ‘hat trick’ walipoifunga Moghreb Tetouan ya Morocco mabao 5-0, anamalizia mkataba wake kwa matajiri hao Februari mwakani.

Wakati...

 

10 years ago

Mwananchi

LAWAMA KAMA NI SUMU

Lawama kama ni sumu, ningekufa mimi YOB Ningekuwa marehemu, ningekosa matibabu Kipi wanilaumu, sijui hata sababu YOB ningeshafariki

 

10 years ago

BBCSwahili

Mario Balotelli aepuka lawama

Polisi hawatachukua hatua zaidi dhidi ya mshambuliaji wa timu ya Liverpool Mario Baloteli

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo: Nilibeba ‘zigo’ la lawama

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda amesema kocha Goran Kopunovic alimpa jukumu zito la kumtaka akadake penalti kama angeshindwa angebebeshwa lawama zaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Watupiana lawama uwapo wa machinga

Wakati wafanyabiashara wakiendelea kumiminika eneo hatarishi la mitambo ya umeme ya Ubungo, uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), umejitoa katika sakata hilo huku ukidai Halmashauri ya Kinondoni, Songas, Sumatra na Polisi ndiyo inahusika na usalama wa eneo hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Dar waishushia lawama Serikali

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inadaiwa hadi sasa haijatoa kiasi chochote cha pesa ili kuziwezesha Manispaa za Dar es Salaam kudhibiti homa ya dengue, badala yake imetoa vipeperushi.

 

9 years ago

Habarileo

Samatta akubali kubeba lawama

MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amesema wapo tayari kulaumiwa na mashabiki endapo watashindwa kuifunga Malawi leo. Samatta aliyasema hayo jana baada ya mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Malawi wa kutafuta kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazofanyika Urusi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK ajivua lawama Bunge la Katiba

LICHA ya hotuba yake ya uzinduzi wa Bunge Maalum la Katiba kutajwa kama chanzo cha kuvurugika kwa bunge hilo, Rais Jakaya Kikwete amejivua lawama hizo, akidai wajumbe wa vyama vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani