Manji ajibebesha lawama
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji, amewataka wanachama na mashabiki kumbebesha lawama za kipigo kutoka kwa Simba walichokipata katika pambano la Nani Mtani Jembe, lililofanyika juzi Uwanja wa Taifa, Dar es...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.
Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Samatta ajibebesha mzigo TP Mazembe
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga TP Mazembe (DRC), Mbwana Samatta, amejibebesha mzigo baada ya kudai kuwa anataka kuiachia timu hiyo taji la Ligi ya Mabingwa Afrika kabla ya kutimkia Ulaya mwakani.
Samatta aliyeivusha TP Mazembe hadi nusu fainali ya michuano hiyo wikiendi iliyopita kwa kufunga mabao matatu ‘hat trick’ walipoifunga Moghreb Tetouan ya Morocco mabao 5-0, anamalizia mkataba wake kwa matajiri hao Februari mwakani.
Wakati...
10 years ago
Mwananchi20 Mar
LAWAMA KAMA NI SUMU
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Mario Balotelli aepuka lawama
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Ivo: Nilibeba ‘zigo’ la lawama
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Watupiana lawama uwapo wa machinga
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Dar waishushia lawama Serikali
9 years ago
Habarileo07 Oct
Samatta akubali kubeba lawama
MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amesema wapo tayari kulaumiwa na mashabiki endapo watashindwa kuifunga Malawi leo. Samatta aliyasema hayo jana baada ya mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Malawi wa kutafuta kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazofanyika Urusi.
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
JK ajivua lawama Bunge la Katiba
LICHA ya hotuba yake ya uzinduzi wa Bunge Maalum la Katiba kutajwa kama chanzo cha kuvurugika kwa bunge hilo, Rais Jakaya Kikwete amejivua lawama hizo, akidai wajumbe wa vyama vya...