Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mario Balotelli aepuka lawama

Polisi hawatachukua hatua zaidi dhidi ya mshambuliaji wa timu ya Liverpool Mario Baloteli

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MARIO BALOTELLI NA VITUKO VYAKE

Mario Balotelli ni mchezaji wa Liverpool alipost picha hii kwenye page yake ya Instagram akiangalia timu yake kupitia tv akiwa nyumbani. Liverpool na Chelsea walipepetana kugombea kikombe cha Capital One na timu hizo zilitoshana nguvu kwa kufungana goli moja kwa moja Balotelli akuweza kuwepo uwanjani kwa vile ni mgonjwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool yamnyakua Mario Balotelli

Klabu ya Liverpool imemnyakua mshambuliaji machachari Mario Balotelli kwa paundi milioni.

 

11 years ago

GPL

MARIO BALOTELLI AJIACHIA NA MPENZI WAKE

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Italia na Klabu ya AC Milan, Mario Balotelli akiogelea na mpenzi wake Fanny Neguesha mjini Miami Mario Balotelli akiogelea na mpenzi wake Fanny Neguesha huku wakifurahia jambo.…

 

10 years ago

TheCitizen

Mancini rules out Inter bid for misfiring Mario Balotelli

New Inter Milan coach Roberto Mancini said he had no plans to bring Mario Balotelli back to the Serie A club after beginning his second spell with the Nerazzurri on Saturday.

 

11 years ago

GPL

CRISTIANO RONALDO 'AKOPI NA KUPESTI' STAILI YA MARIO BALOTELLI

Cristiano Ronaldo (kushoto) akishangilia bao lake la penalti dhidi ya Atletico Madrid. Kulia ni Mario Balotelli alipofunga bao katika nusu fainali ya Euro 2012 kati ya Italia na Ujerumani. MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, ‘amekopi na kupesti’ staili ya mshambuliaji wa AC Milan Mario Balotelli baada ya kufunga bao la nne dhidi ya Atletico Madrid kwenye Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa kuamkia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Puff Daddy aepuka jela

Msanii wa muziki aina ya rap Sean P Diddy Combs amesema kuwa hatakabiliwa na mashtaka ya shambulio kufuatia kisa kimoja mwezi uliopita kilichohusisha uzani wa 'kettlebell'.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mario Gemina kuchezea Gabon

Mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya chipukizi Mario Lemina amesema yuko tayari kuichezea timu ya taifa ya soka ya Gabon

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchezaji mkongwe Mario Coluna afariki

Aliyekuwa nahodha wa timu ya soka ya Benfica kutoka Msumbiji Mario Coluna amefariki Msumbuji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani