Watupiana lawama uwapo wa machinga
Wakati wafanyabiashara wakiendelea kumiminika eneo hatarishi la mitambo ya umeme ya Ubungo, uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), umejitoa katika sakata hilo huku ukidai Halmashauri ya Kinondoni, Songas, Sumatra na Polisi ndiyo inahusika na usalama wa eneo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.
Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex
WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-U_OLKGKZtco/VbhpW9zDj2I/AAAAAAABS30/VvL6Fc5Ywr8/s72-c/13769_105078696170986_100000065695143_150328_1589888_n%255B1%255D.jpg)
DINA MARIOUS NA ZAMARADI MKETEMA WATUPIANA MANENO INSTAGRAM, KISA KIKO HAPA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-U_OLKGKZtco/VbhpW9zDj2I/AAAAAAABS30/VvL6Fc5Ywr8/s640/13769_105078696170986_100000065695143_150328_1589888_n%255B1%255D.jpg)
Katika Mtandao wa Instagram Dina Marious ameandika kwa kirefu kabisa kuhusu inshu hii, akiwa kama anamzungumzia Zamaradi, Dina ameandika “Leo nimeguswa kuongea na SNITCHES makazini na maofisini a.k.a boss little pet.Kuna siku kuna dada alinipigia simu nimshauri namna ya kuishi na mtu ambae wako karibu kazini lakini amekuwa akimsitch kazini anapeleka maneno ya umbea kwa...
10 years ago
CloudsFM18 Feb
Mzee Yusuph kuoa tena mke wa watatu,Wake zake watupiana vijembe mtandaoni
Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph anatarajia kuoa tena mke wa tatu hivi karibuni huku wake zake wawili wakiwa kwenye bifu zito wakitupiana vijembe mtandaoni.
Akipiga stori na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa anatarajia kuoa mke huyo ambaye anaishi huko visiwani Pemba,na kwamba mipango ikiwa tayari kila kitu kitakuwa hadharani.
Hivi karibuni wake zake wawili ambao ni Malkia Leila Rashid ambaye pia ni mwimbaji...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kg4Hy8GeVp4/UxauuBKwqNI/AAAAAAAFRKE/s6KhAnS2dY4/s72-c/r1.jpg)
10 years ago
Habarileo22 Jan
Atoa mbinu za kuepusha uwapo wa makundi yanayotishia amani
MWENYEKITI wa Mtaa wa Sechelela kata ya Tambukareli Manispaa ya Dodoma ,Donald Pangaselo amewataka wakazi wa mtaa huo kuwaonya na kuwaeleza vijana suala la maadili ili kuepusha makundi ya vijana yanayotishia amani.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Hali ya Hewa waonya uwapo wa kimbunga kitakachosababisha mvua kubwa
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OH_5Y2Me-8E/VlTc8NJTYdI/AAAAAAAIISk/ggbjZLbS0mc/s72-c/images%2B%25282%2529.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: HAYA YATAKUSAIDIA UWAPO MIKONONI MWA POLISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-OH_5Y2Me-8E/VlTc8NJTYdI/AAAAAAAIISk/ggbjZLbS0mc/s320/images%2B%25282%2529.jpeg)
1.JE KITU GANI KIFANYKE ASKARI ANAPOKUNYIMA DHAMANA.
Kwanza ieleweke kuwa dhamana ni haki yako. Haki ni jambo la lazima. Haki ya dhamana inaruhusiwa kunyimwa katika makosa machache sana kwa mfano uhaini, wizi wa silaha, mauaji n.k. Makosa mengine madogo madogo hasa haya ya kila siku ya kutukana, kudhalilisha, kupigana, ajali ndogo, wizi usio wa silaha, na mengine dhamana ni lazima. Hata hivyo makosa ambayo hayaruhusiuwi...
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya corona: Jinsi ya kukaa mbali na mwenzako uwapo kazini