Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samatta akubali kubeba lawama

MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amesema wapo tayari kulaumiwa na mashabiki endapo watashindwa kuifunga Malawi leo. Samatta aliyasema hayo jana baada ya mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Malawi wa kutafuta kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazofanyika Urusi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rogders akubali lawama kipigo Liverpool

Brendan Rodgers amesema anapokea lawama zote kufuatia kipigo cha timu yake ya Liverpool ilichokipata kutoka kwa Cyristal Palace.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK amekubali tena kubeba aibu ya Escrow

KILA kukicha serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekuwa ikifanya madudu makubwa yanayochangia kuzorota kwa maendeleo ya wananchi. Madudu hayo yananifanya niamini kwamba Rais Jakaya Kikwete hakwaziki nayo, inavyoonekana anaufurahia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Gari za kijeshi zatumika kubeba maharusi

Gari za kijeshi (Deraya ) zinatumika kubeba maharusi mjini Moscow ili kusherehesha na kuachana na Magari ya kifahari aina ya Limo

 

9 years ago

Mwananchi

Adaiwa kubeba kilo 22 za mirungi JNIA

Jeshi la Polisi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), limemkamata raia wa Uingereza, Faiz Abdullah Ali (55) kwa tuhuma za kukutwa na kilo 22 za dawa za kulevya aina ya mirungi ikiwa imefungwa kwenye kanga na kuhifadhiwa ndani ya mabegi mawili.

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake wanaochelewa kubeba ujauzito waonywa

Dk Ali MzigeWANAWAKE wanaochelewa kubeba ujauzito, wameonywa kuwa kuchelewa huko kunawaweka hatarini kuja kupata watoto wenye mtindio wa ubongo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Castle Lager yazidi kubeba wadau

WANYWAJI wanne wa Castle Lager, wamejishindia safari ya kwenda nchini Hispania kutembelea Uwanja wa Camp Nou wa Klabu ya Barcelona, baada ya kuibuka washindi katika ‘droo’ iliyofanyika juzi, jijini Dar...

 

9 years ago

GPL

MISS TZ: NAJUTA KUBEBA TAJI 2015

Mrembo wa Tanzania 2014-2015, Lilian Kamazima. Na imelda mtema Mrembo wa Tanzania 2014-2015, Lilian Kamazima amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa kuna kipindi anajuta kwa nini alijiingiza kwenye mambo ya urembo kwa mwaka huo kwani hakufaidi nafasi hiyo kutokana na adhabu ya kufungiwa ambayo ilimuathiri sana. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Lilian alisema kuwa mara nyingi unaposhiriki unakuwa na matumaini ya kushinda na baada...

 

9 years ago

Habarileo

Samia aahidi kubeba changamoto za walemavu

MGOMBEA Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kushirikiana na watu wenye ulemavu katika kutatua changamoto zinazowakabili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani