Rogders akubali lawama kipigo Liverpool
Brendan Rodgers amesema anapokea lawama zote kufuatia kipigo cha timu yake ya Liverpool ilichokipata kutoka kwa Cyristal Palace.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.
Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...
9 years ago
Habarileo07 Oct
Samatta akubali kubeba lawama
MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amesema wapo tayari kulaumiwa na mashabiki endapo watashindwa kuifunga Malawi leo. Samatta aliyasema hayo jana baada ya mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Malawi wa kutafuta kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazofanyika Urusi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRcqY74DAuxrcwjqIlq8PN8xdefI1AC-IGKIIVBI4fDbceaBWvRD01pONLR6vi8vEcOlKuWgRrR8iE9MMblVO8fX/MANJI.jpg?width=650)
MANJI AKUBALI KIPIGO CHA 3-1
9 years ago
Habarileo23 Oct
Matola akubali yaishe kipigo Simba
KOCHA Msaidizi wa Simba, Suleiman Matola, amesema hawakutarajia kupoteza mchezo dhidi ya Prisons lakini wanajipanga kwa ajili ya michezo ijayo.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Kipa abeba lawama kipigo cha TZ Prisons
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Wenger aiogopa Liverpool kufuatia kipigo
5 years ago
BBC01 Mar
Watford 3-0 Liverpool: Liverpool 'unburdened' as unbeaten run comes to end
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Nchimbi akubali yaishe
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema kuwa yeye na mawaziri wenzake watatu walikubali kuwajibika kutokana na makosa yaliyofanywa na askari wakati wa kutekeleza Operesheni Tokomeza Ujangili....
9 years ago
GPLMAFUFU AKUBALI KUITWA ZOBA