Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rogders akubali lawama kipigo Liverpool

Brendan Rodgers amesema anapokea lawama zote kufuatia kipigo cha timu yake ya Liverpool ilichokipata kutoka kwa Cyristal Palace.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

 

9 years ago

Habarileo

Samatta akubali kubeba lawama

MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amesema wapo tayari kulaumiwa na mashabiki endapo watashindwa kuifunga Malawi leo. Samatta aliyasema hayo jana baada ya mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Malawi wa kutafuta kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazofanyika Urusi.

 

11 years ago

GPL

MANJI AKUBALI KIPIGO CHA 3-1

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, akiongea na wanahabari (hawapo pichani).
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, amekubali kipigo cha 3-1 kutoka kwa Simba na kusema asitupiwe lawama mchezaji wala kiongozi yeyote kwa matokeo ya jana. Manji ameyasema hayo leo wakati akiongea na wanahabari katika makao makuu ya timu yake yaliyopo  Mtaa wa Twiga na Jangwani baada ya mechi ya jana ya Watani wa Jadi, Simba na Yanga, kwenye mchezo wa...

 

9 years ago

Habarileo

Matola akubali yaishe kipigo Simba

KOCHA Msaidizi wa Simba, Suleiman Matola, amesema hawakutarajia kupoteza mchezo dhidi ya Prisons lakini wanajipanga kwa ajili ya michezo ijayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kipa abeba lawama kipigo cha TZ Prisons

Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, David Mwamwaja amemtupia lawama kipa wake, Beno Kakulanya akidai kwamba alifanya uzembe wa hali ya juu hadi wakapoteza mchezo mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu iliyochezwa juzi Jumapili kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger aiogopa Liverpool kufuatia kipigo

Arsene Wenger amekiri kwamba anaogopa kichapo cha 5-1 alichokipata wakati timu yake ilipochuana na Liverpool msimu uliopita

 

5 years ago

BBC

Watford 3-0 Liverpool: Liverpool 'unburdened' as unbeaten run comes to end

Liverpool's trip to Watford was supposed to be a landmark day for the Reds but it ended up being one for the wrong reasons, reports Gary Rose.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nchimbi akubali yaishe

ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema kuwa yeye na mawaziri wenzake watatu walikubali kuwajibika kutokana na makosa yaliyofanywa na askari wakati wa kutekeleza Operesheni Tokomeza Ujangili....

 

9 years ago

GPL

MAFUFU AKUBALI KUITWA ZOBA

Imelda mtema Muigizaji wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu amefunguka kuwa kwa mke wake yuko tayari watu wamuite majina yoyote yale wanayoyapenda hata wakimuita zoba kwa kumpenda mkewe haoni tatizo. Akizungumza na gazeti hili, Mafufu alisema mke wake ambaye wamejaaliwa mtoto mmoja aitwaye Ronaldo, ndiye ‘kiboko yake’ hata kama kuna upungufu unaotokea kati yao, wanamalizana ndani na maisha yanaendelea.  ....Soma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani