Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger aiogopa Liverpool kufuatia kipigo

Arsene Wenger amekiri kwamba anaogopa kichapo cha 5-1 alichokipata wakati timu yake ilipochuana na Liverpool msimu uliopita

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Rogders akubali lawama kipigo Liverpool

Brendan Rodgers amesema anapokea lawama zote kufuatia kipigo cha timu yake ya Liverpool ilichokipata kutoka kwa Cyristal Palace.

 

5 years ago

BBC

Watford 3-0 Liverpool: Liverpool 'unburdened' as unbeaten run comes to end

Liverpool's trip to Watford was supposed to be a landmark day for the Reds but it ended up being one for the wrong reasons, reports Gary Rose.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho amkejeli Wenger

Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amemkosoa tena mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger akimtaja kuwa mfalme anayeongoza bila presha

 

11 years ago

Michuzi

ARSENE WENGER PWA!

Arsene Wenger jana alipatwa na majanga mawili ya mwaka baada ya kula mweleka muda mfupi baada ya timu yake ya Arsenal kupigwa 5-1 na Liverpool.  Meneja huyo wa washika bunduki wa Uingereza alikuwa anawahi treni kurudi London katika mtaa wa Lime jijini Liverpool akiwa na wachezaji wake alipoteleza na kuanguka pwa!  Meneja huyo mwenye umri wa miaka 64 anaokenana pichani akiwa anaburuta begi lake wakati akiingia stesheni, lakini mara tu baada ya kuvuka mlango wa kuingilia, anateleza na kula...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Tulijaribu kumsajili Messi

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amethibitisha kuwa alijaribu kumsajili nyota wa kilabu ya barcelona Lionel Mess.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger alaumu walinzi wa Arsenal

Mkufunzi wa Arsenal Arsene wenger amesema kuwa safu ya ulinzi ya Arsenal ni hafifu

 

11 years ago

BBCSwahili

Maombi ya Arsene Wenger yajibiwa

Maombi ya Kocha Arsene Wenger kuwa Everton ishindwe yalitimia jana Crystal Palace ilipoilaza 3-2 .

 

9 years ago

Mtanzania

Wenger hana mpango wa kustaafu

arsene-wenger_2645586bLONDON, ENGLAND

KOCHA wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger, amesisitiza kuwa mpaka sasa hajapanga tarehe rasmi ya kustaafu kufundisha soka.

Wenger amesema bado anaamini anaweza kufanya makubwa kwa klabu ya Arsenal hasa msimu huu wa Ligi Kuu nchini England huku akiwa na matumaini makubwa ya kuchukua ubingwa.

Kocha huyo mwenye umri wa miaka 65, amekuwa na furaha ya kufikisha miaka 19 ya kuifundisha klabu ya Arsenal, hata hivyo mashabiki wa klabu hiyo walianza kumchoka kutokana na maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani