Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger:Tulijaribu kumsajili Messi

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amethibitisha kuwa alijaribu kumsajili nyota wa kilabu ya barcelona Lionel Mess.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UHAMISHO:Kumsajili Singano ‘Messi’ Sh50 milioni

Klabu ya Simba inatakiwa kufanya kazi kubwa na kufungua pochi ili kumshawishi mshambuliaji wake iliye na mgogoro naye wa kimkataba, Ramadhani Singano ‘Messi’ anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumsajili Paulista

Kilabu ya Uhispania Villareal imethibtisha makubaliano na Arsenal kuhusu uhamisho wa beki Gabriel Paulista huko Emirates.

 

10 years ago

BBCSwahili

Everton kumsajili Etoo

Everton inataka kumsajili mshambulizi nyota kutoka Cameroon Samuel Eto'o kwa mkataba wa miaka 2

 

10 years ago

BBCSwahili

Barcelona kumsajili Pogba

Mgombea wa wadhfa wa urais katika klabu ya Barcelona Joan Laporta anasema kuwa mabingwa hao wa Ulaya watajaribu kumsajili kiungo wa kati wa Juventus Paul Pogba iwapo atachaguliwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumsajili Benteke

Liverpool imekubali kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke kulingana na mtandao wa Talksport.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yakaribia kumsajili Bony

Usajili wa mshambuliaji wa Ivory Coast na Swansea Wilfired Bony hadi kilabu ya Mancity unakaribia kukamilika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yakaribia kumsajili Cuadrado

Kilabu ya Chelsea inakaribia kuweka sahihi ya kitita cha pauni millioni 23.3 ili kumsajili chezaji wa Fiorentina Juan Cuadrado.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumsajili James Milner

Liverpool imekubali kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza James Milner kutoka kwa kilabu ya Manchester City kwa uhamisho wa bure.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumsajili Calum Chambers

Kilabu ya Uingereza ya Arsenal inakaribia kumsajili mlinzi wa kilabu ya Southampton Calum Chambers .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani