Wenger:Tulijaribu kumsajili Messi
Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amethibitisha kuwa alijaribu kumsajili nyota wa kilabu ya barcelona Lionel Mess.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jun
UHAMISHO:Kumsajili Singano ‘Messi’ Sh50 milioni
Klabu ya Simba inatakiwa kufanya kazi kubwa na kufungua pochi ili kumshawishi mshambuliaji wake iliye na mgogoro naye wa kimkataba, Ramadhani Singano ‘Messi’ anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia.
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Arsenal kumsajili Paulista
Kilabu ya Uhispania Villareal imethibtisha makubaliano na Arsenal kuhusu uhamisho wa beki Gabriel Paulista huko Emirates.
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Everton kumsajili Etoo
Everton inataka kumsajili mshambulizi nyota kutoka Cameroon Samuel Eto'o kwa mkataba wa miaka 2
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Barcelona kumsajili Pogba
Mgombea wa wadhfa wa urais katika klabu ya Barcelona Joan Laporta anasema kuwa mabingwa hao wa Ulaya watajaribu kumsajili kiungo wa kati wa Juventus Paul Pogba iwapo atachaguliwa.
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Liverpool kumsajili Benteke
Liverpool imekubali kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke kulingana na mtandao wa Talksport.
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Mancity yakaribia kumsajili Bony
Usajili wa mshambuliaji wa Ivory Coast na Swansea Wilfired Bony hadi kilabu ya Mancity unakaribia kukamilika.
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Chelsea yakaribia kumsajili Cuadrado
Kilabu ya Chelsea inakaribia kuweka sahihi ya kitita cha pauni millioni 23.3 ili kumsajili chezaji wa Fiorentina Juan Cuadrado.
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Liverpool kumsajili James Milner
Liverpool imekubali kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza James Milner kutoka kwa kilabu ya Manchester City kwa uhamisho wa bure.
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
Arsenal kumsajili Calum Chambers
Kilabu ya Uingereza ya Arsenal inakaribia kumsajili mlinzi wa kilabu ya Southampton Calum Chambers .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania