Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barcelona kumsajili Pogba

Mgombea wa wadhfa wa urais katika klabu ya Barcelona Joan Laporta anasema kuwa mabingwa hao wa Ulaya watajaribu kumsajili kiungo wa kati wa Juventus Paul Pogba iwapo atachaguliwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Barcelona inataka kumsajili Suarez

Licha ya kukabiliwa na marufuku ya miezi minne Barcelona haija kata tamaa ya kumsajili Suarez

 

9 years ago

MillardAyo

FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid …

Mapenzi ya wachezaji katika vilabu fulani barani Ulaya, imekuwa kawaida hata kama hawavichezei. December 28 klabu ya FC Barcelona imeingia kwenye headlines baada ya kumsainisha mchezaji na kisha kufuta mkataba wake masaa machache baada ya kugundua kuwa ametweet vitu ambavyo vinaihusu timu ya Real Madrid. Baada ya kufuzu majaribio na Barcelona B Sergi Guardiola alisaini […]

The post FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid … appeared first on...

 

10 years ago

Africanjam.Com

JUVENTUS REJECT €80m POGBA OFFER FROM BARCELONA


Barca directors Ariedo Braida and Alberto Soler flew to Italy for a meeting with Juve director general Giuseppe Marotta on Monday, but their opening bid has been turned downJuventus director general Giuseppe Marotta has confirmed the club have rejected an €80 million bid from Barcelona for Paul Pogba.

On Wednesday, Barcelona directors Ariedo Braida and Alberto Soler flew to Italy for a meeting with Marotta and Bianconeri sporting director Fabio Paratici before making their opening...

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumsajili Benteke

Liverpool imekubali kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke kulingana na mtandao wa Talksport.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumsajili Paulista

Kilabu ya Uhispania Villareal imethibtisha makubaliano na Arsenal kuhusu uhamisho wa beki Gabriel Paulista huko Emirates.

 

10 years ago

BBCSwahili

Everton kumsajili Etoo

Everton inataka kumsajili mshambulizi nyota kutoka Cameroon Samuel Eto'o kwa mkataba wa miaka 2

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yakaribia kumsajili Bony

Usajili wa mshambuliaji wa Ivory Coast na Swansea Wilfired Bony hadi kilabu ya Mancity unakaribia kukamilika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumsajili Calum Chambers

Kilabu ya Uingereza ya Arsenal inakaribia kumsajili mlinzi wa kilabu ya Southampton Calum Chambers .

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumsajili kipa wa Chelsea

Arsenal wanakaribia kuweka makubaliano ya kumsajili kipa wa Chelsea Petr Cech.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani