Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal kumsajili Calum Chambers

Kilabu ya Uingereza ya Arsenal inakaribia kumsajili mlinzi wa kilabu ya Southampton Calum Chambers .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Calum Chambers aiponza Arsenal

LONDON, ENGLAND
TIMU ya Arsenal imefunguliwa mashtaka na Chama cha Soka England (FA) kwa madai ya kuwa walikiuka sheria za uwakala wa soka walipomsajili beki Calum Chambers kutoka Southampton Julai mwaka jana.
Wakala Alan Middleton naye pia amefunguliwa mashtaka kwa kukiuka sheria za usajili na ametakiwa kujibu madai hayo hadi kufikia Juni 17 mwaka huu, Arsenal imetakiwa nayo kujibu Juni 26 baada ya kuombwa kufanya hivyo mara kadhaa.

Chambers, 20, aliyejiunga na Gunners kwa kitita cha pauni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumsajili Paulista

Kilabu ya Uhispania Villareal imethibtisha makubaliano na Arsenal kuhusu uhamisho wa beki Gabriel Paulista huko Emirates.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumsajili kipa wa Chelsea

Arsenal wanakaribia kuweka makubaliano ya kumsajili kipa wa Chelsea Petr Cech.

 

10 years ago

Daily News

Zanzibar, Comorian trade chambers ready to cooperate


Zanzibar, Comorian trade chambers ready to cooperate
Daily News
THE Comorian Union Chambers of Commerce, Industry and Agriculture (UCCIA) has signed an MoU with their counterpart Zanzibar National Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (ZNCCIA) to foster business and trade development between the ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Everton kumsajili Etoo

Everton inataka kumsajili mshambulizi nyota kutoka Cameroon Samuel Eto'o kwa mkataba wa miaka 2

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumsajili Benteke

Liverpool imekubali kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke kulingana na mtandao wa Talksport.

 

10 years ago

BBCSwahili

Barcelona kumsajili Pogba

Mgombea wa wadhfa wa urais katika klabu ya Barcelona Joan Laporta anasema kuwa mabingwa hao wa Ulaya watajaribu kumsajili kiungo wa kati wa Juventus Paul Pogba iwapo atachaguliwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yakaribia kumsajili Cuadrado

Kilabu ya Chelsea inakaribia kuweka sahihi ya kitita cha pauni millioni 23.3 ili kumsajili chezaji wa Fiorentina Juan Cuadrado.

 

11 years ago

BBCSwahili

Barcelona inataka kumsajili Suarez

Licha ya kukabiliwa na marufuku ya miezi minne Barcelona haija kata tamaa ya kumsajili Suarez

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani