Calum Chambers aiponza Arsenal
LONDON, ENGLAND
TIMU ya Arsenal imefunguliwa mashtaka na Chama cha Soka England (FA) kwa madai ya kuwa walikiuka sheria za uwakala wa soka walipomsajili beki Calum Chambers kutoka Southampton Julai mwaka jana.
Wakala Alan Middleton naye pia amefunguliwa mashtaka kwa kukiuka sheria za usajili na ametakiwa kujibu madai hayo hadi kufikia Juni 17 mwaka huu, Arsenal imetakiwa nayo kujibu Juni 26 baada ya kuombwa kufanya hivyo mara kadhaa.
Chambers, 20, aliyejiunga na Gunners kwa kitita cha pauni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
Arsenal kumsajili Calum Chambers
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Sitti aiponza Miss Tanzania
10 years ago
Daily News11 Jun
Zanzibar, Comorian trade chambers ready to cooperate
Daily News
THE Comorian Union Chambers of Commerce, Industry and Agriculture (UCCIA) has signed an MoU with their counterpart Zanzibar National Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (ZNCCIA) to foster business and trade development between the ...
5 years ago
BBC24 Feb
Arsenal 3-2 Everton: Aubameyang nets twice as Arsenal beat Everton in thriller