MAFUFU AKUBALI KUITWA ZOBA
Imelda mtema Muigizaji wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu amefunguka kuwa kwa mke wake yuko tayari watu wamuite majina yoyote yale wanayoyapenda hata wakimuita zoba kwa kumpenda mkewe haoni tatizo. Akizungumza na gazeti hili, Mafufu alisema mke wake ambaye wamejaaliwa mtoto mmoja aitwaye Ronaldo, ndiye ‘kiboko yake’ hata kama kuna upungufu unaotokea kati yao, wanamalizana ndani na maisha yanaendelea.  ....Soma...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies21 Sep
Mafufu ‘Kufia’ UKAWA
Muandaaji na muigizaji wa filamu , Jimmy Mafufu amesema hawezi kuhama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa sababu kila upande wa siasa una changamaoto zake.
Mafufu amesema alihama Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenda UKAWA kwasababu matatizo mengi yanayohusiana na sanaa ya filamu yalikuwa hayajapatiwa ufumbuzi na serikali yake.
Ameseme yupo UKAWA iliyomsimamisha Edward Lowassa kuwa mgombea Urais wake katika uchaguzi wa mkuu mwezi ujao kwasababu anaamini atafikia malengo aliyojiwekea...
10 years ago
GPL
MKE WA MAFUFU ABEBA VIRAGO!
10 years ago
GPL
MAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI
10 years ago
GPL
MAFUFU: MASHABIKI WANANITAKA KIMAPENZI
10 years ago
GPL
MAFUFU ASHUSHIWA KIPIGO NA MKEWE!
10 years ago
GPLMAFUFU: SIWEZI KUHAMA UKAWA
11 years ago
GPL
MAFUFU AWABWA-TUKIA MASTAA
11 years ago
GPL
MAFUFU ADAIWA KUTAPELI LAKI MOJA
10 years ago
GPL
MAFUFU AMVAA SUGU MBEYA MJINI