Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKE WA MAFUFU ABEBA VIRAGO!

Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
KIMENUKA! MKEwa staa wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu, Salma Sadiki amenaswa akifungasha virago nyumbani kwake Mwananyamala-Hospitali na kuelekea kwa wazazi wake maeneo ya Mbagala jijini Dar akidai kuchoshwa na tabia za mumewe huyo, Ijumaa lina ‘full’ stori. Mkewa staa wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu, Salma Sadiki akiwa na mizigo yake. Akizungumza na mapaparazi wetu, Salma...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Dk. Magufuli abeba ajenda ya Dk. Slaa

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.

Waandishi Wetu

 

10 years ago

Mtanzania

Tasilima abeba mikoba ya Lipumba

Na Mwandishi Wetu

BARAZA  Kuu la Chama cha Wananchi (CUF),limeunda kamati ya watu watatu ambao wataongoza chama hicho kwa muda wa miezi sita.

Akitoa taarifa ya maazimio ya baraza hilo lililokutana mjini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa CUF, Abdul Kambaya, alisema baraza hilo litaongozwa na mwenyekiti wa muda, Twaha Tasilima.

Alisema Tasilima atasaidiwa na wajumbe wawili ambao ni Aboubakar Khamis Bakari na Severine Mwaijage.

“Kamati hii ndiyo itaongoza chama kwa muda wa miezi sita, kabla...

 

9 years ago

Habarileo

Mkwasa abeba lawama zigo la 7-0

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, Charles Mkwasa amekubali kubeba lawama za Watanzania kufuatia kipigo cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa mwaka 2018 huko Urusi uliofanyika usiku wa Jumanne wiki hii huko Bilda, Algeria.

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuu abeba matumaini michezoni

Sekta ya michezo nchini huenda ikapata ahueni baada ya Waziri Mkuu mpya Kassim Majaliwa kuwatoa wasiwasi wadau wake akieleza kuwa waziri mwenye dhamana ya sekta hiyo lazima awe na taaluma inayostahiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

James Guy abeba medali ya dhahabu

Mwingereza James Guy ameshinda medali ya dhahabu katika michuano ya kuogelea ya dunia inayofanyika Urusi

 

10 years ago

Mwananchi

Kipa abeba lawama kipigo cha TZ Prisons

Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, David Mwamwaja amemtupia lawama kipa wake, Beno Kakulanya akidai kwamba alifanya uzembe wa hali ya juu hadi wakapoteza mchezo mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu iliyochezwa juzi Jumapili kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

 

11 years ago

GPL

SUAREZ ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA

Mchezaji Bora wa Mwaka, Luis Suarez akisherehekea tuzo yake ya Shirikisho ya Mashabiki wa Soka, akiwa na mkewe Sofia. Suarez akisherehekea tuzo yake Uwanja wa Emirates. MSHAMBULIAJI Luis Suarez ametajwa mchezaji bora wa mwaka wa tuzo ya Shirikisho la Mashabiki wa Soka jana usiku akiwapiku Leighton Baines, Christian Benteke, Juan Mata, Robin van Persie na Pablo Zabaleta kushinda tuzo hiyo iliyohusisha wapiga kura zaidi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

M’bilia Bell; abeba historia mbili tofauti

>Miongoni mwa wanamuziki wa Bara la Afrika waliowahi kuandika historia mbili tofauti za uhusiano ni mwanamuziki M’bilia Bell.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani