Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


M’bilia Bell; abeba historia mbili tofauti

>Miongoni mwa wanamuziki wa Bara la Afrika waliowahi kuandika historia mbili tofauti za uhusiano ni mwanamuziki M’bilia Bell.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

RAIS KENYATTA - ISINGEKUWA KIKWETE HISTORIA YA KENYA LEO INGEKUWA TOFAUTI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512, 2116898

E-mail: ikulucommpress@googlemail.com

Website : www.ikulu.go.tz              

Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,

      STATE HOUSE,

              1 BARACK OBAMA ROAD,  

11400 DAR ES SALAAM.

Tanzania.

 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa juhudi na busara zake wakati nchi hiyo ilipoingia kwenye machafuko...

 

10 years ago

Mwananchi

Malawi, Tanzania zazungumza lugha mbili tofauti

Kile kilichoonekana kuanza kama mzaha kati ya Tanzania na Malawi kuhusu umiliki wa Ziwa Nyasa, sasa kimeanza kuchukua sura mpya kwa kila nchi kuendelea kutekeleza kitu inachokiamini kuwa ni sahihi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Uhuru Kenyatta — Isingekuwa Kikwete historia ya Kenya leo ingekuwa tofauti

D92A8983

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja.

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa juhudi na busara zake wakati nchi hiyo ilipoingia kwenye machafuko ya kisiasa mwaka 2007.

Rais Kenyatta amemshukuru Rais Kikwete leo mbele  ya wafanya biashara wa Kenya na Tanzania, wakati wakufungua Kikao cha wafanyabiashara pamoja jijini Nairobi leo asubuhi.

“Kama isingekua msaada wako mwaka 2007 na juhudi zako, historia ya Kenya leo...

 

9 years ago

Mwananchi

Ronaldo, Kleberson — mapacha Man United na safari mbili tofauti kimaisha

Ni miaka 12 tangu  Cristiano Ronaldo na Kleberson wasajiliwe pamoja na kutambulishwa kwenye klabu ya Manchester United. Kwa sasa, wawili hao ambao waliitwa mapacha wamepitia safari tofauti kimaisha

 

11 years ago

Michuzi

WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE TISA MAJERUHI KATIKA AJALI MBILI TOFAUTI MOJA IKIHUSISHA GARI LILILOBEBA WANAHABARI WA MBONI SHOW MKOANI DODOMA.

Na Sylvester Onesmo  wa Jeshi la Polisi, Dodoma.
Watu wawili wamepoteza maisha kutokana na ajali mbili zilizotokea katika maeneo mawili tofauti na nyakati tofauti Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani) ameeleza kuwa, ajali ya kwanza ilitokea tarehe 30/05/2014 majira ya saa 18:30hrs katika kijiji cha Ipala Wilaya ya Dodoma ambapo gari lenye namba za usajili DFP 614 Toyota Land Cruiser mali ya chuo cha Serikali...

 

9 years ago

BBC

Bell fails in Cameroon FA bid

Former international goalkeeper Joseph-Antoine Bell fails in his attempt to become Cameroon Football Federation president.

 

11 years ago

TheCitizen

Where Katiba doesn’t ring a bell

>As the Katiba process gains momentum, The Citizen visited a village located some 10 kilometres from the centre of the capital town, Dodoma. Villagers here talk about how they eke a living.

 

10 years ago

Vijimambo

Bell Geospace geoscientist appointed Director General of TPDC

Bell Geospace is pleased to announce that one of their valued geoscientists, Dr James Mataragio has been appointed to the post of Director General of the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) by President Jakaya, effective 15th December 2014. During his tenure at Bell Geospace, Dr Mataragio has been exposed to a variety of mineralisation and hydrocarbon projects, which have contributed to the skill set and experience required by TPDC for the role of Director General.

The...

 

9 years ago

Habarileo

Mkwasa abeba lawama zigo la 7-0

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, Charles Mkwasa amekubali kubeba lawama za Watanzania kufuatia kipigo cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa mwaka 2018 huko Urusi uliofanyika usiku wa Jumanne wiki hii huko Bilda, Algeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani