Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkwasa abeba lawama zigo la 7-0

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, Charles Mkwasa amekubali kubeba lawama za Watanzania kufuatia kipigo cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa mwaka 2018 huko Urusi uliofanyika usiku wa Jumanne wiki hii huko Bilda, Algeria.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kipa abeba lawama kipigo cha TZ Prisons

Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, David Mwamwaja amemtupia lawama kipa wake, Beno Kakulanya akidai kwamba alifanya uzembe wa hali ya juu hadi wakapoteza mchezo mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu iliyochezwa juzi Jumapili kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo: Nilibeba ‘zigo’ la lawama

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda amesema kocha Goran Kopunovic alimpa jukumu zito la kumtaka akadake penalti kama angeshindwa angebebeshwa lawama zaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Phiri ajitwisha zigo la lawama

Kocha wa Simba, Patrick Phiri amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuacha kumsakama kipa Ivo Mapunda na kutaka lawama zote abebeshwe yeye kwani yupo tayari kuwajibika.

 

11 years ago

Mwananchi

Maxime akwepa zigo la lawama Mtibwa

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amekwepa mzigo wa lawama kwa kusema wachezaji wake ndiyo wanayo majibu ya swali kwa nini mwenendo wa timu hiyo hauridhishi.

 

9 years ago

Mtanzania

Kerr atupia zigo la lawama nyota wake

kerrNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amewatupia lawama nyota wake kuwa ndio chanzo cha mwenendo mbaya wa klabu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kauli ya Kerr imekuja siku chache baada ya tetesi za kutumuliwa kwake kuzidi kushika kasi, kutokana na matokeo yasiyoridhisha ambayo yamekuwa yakiiandama timu hiyo katika siku za karibuni.

Simba inashika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu, ikiwa na jumla ya pointi 24, hadi sasa imefanikiwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

 

10 years ago

GPL

MKE WA MAFUFU ABEBA VIRAGO!

Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
KIMENUKA! MKEwa staa wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu, Salma Sadiki amenaswa akifungasha virago nyumbani kwake Mwananyamala-Hospitali na kuelekea kwa wazazi wake maeneo ya Mbagala jijini Dar akidai kuchoshwa na tabia za mumewe huyo, Ijumaa lina ‘full’ stori. Mkewa staa wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu, Salma Sadiki akiwa na mizigo yake. Akizungumza na mapaparazi wetu, Salma...

 

9 years ago

Raia Mwema

Dk. Magufuli abeba ajenda ya Dk. Slaa

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.

Waandishi Wetu

 

10 years ago

Mtanzania

Tasilima abeba mikoba ya Lipumba

Na Mwandishi Wetu

BARAZA  Kuu la Chama cha Wananchi (CUF),limeunda kamati ya watu watatu ambao wataongoza chama hicho kwa muda wa miezi sita.

Akitoa taarifa ya maazimio ya baraza hilo lililokutana mjini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa CUF, Abdul Kambaya, alisema baraza hilo litaongozwa na mwenyekiti wa muda, Twaha Tasilima.

Alisema Tasilima atasaidiwa na wajumbe wawili ambao ni Aboubakar Khamis Bakari na Severine Mwaijage.

“Kamati hii ndiyo itaongoza chama kwa muda wa miezi sita, kabla...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani