Tasilima abeba mikoba ya Lipumba
Na Mwandishi Wetu
BARAZA Kuu la Chama cha Wananchi (CUF),limeunda kamati ya watu watatu ambao wataongoza chama hicho kwa muda wa miezi sita.
Akitoa taarifa ya maazimio ya baraza hilo lililokutana mjini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa CUF, Abdul Kambaya, alisema baraza hilo litaongozwa na mwenyekiti wa muda, Twaha Tasilima.
Alisema Tasilima atasaidiwa na wajumbe wawili ambao ni Aboubakar Khamis Bakari na Severine Mwaijage.
“Kamati hii ndiyo itaongoza chama kwa muda wa miezi sita, kabla...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Dk. Magufuli abeba ajenda ya Dk. Slaa
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.
Waandishi Wetu
9 years ago
Habarileo20 Nov
Mkwasa abeba lawama zigo la 7-0
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, Charles Mkwasa amekubali kubeba lawama za Watanzania kufuatia kipigo cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa mwaka 2018 huko Urusi uliofanyika usiku wa Jumanne wiki hii huko Bilda, Algeria.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLafOPQWc3J5IDK5If2jR24-GlhLiLMFD8Q3I8zqwUwmcSReHz79FrVuVILw*Fyenp5DZDw-cj*nnv9Oqt3oMRtZx/BACKIJUMAA.jpg?width=650)
MKE WA MAFUFU ABEBA VIRAGO!
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Waziri Mkuu abeba matumaini michezoni
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
James Guy abeba medali ya dhahabu
11 years ago
Mwananchi25 Jan
M’bilia Bell; abeba historia mbili tofauti
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Kipa abeba lawama kipigo cha TZ Prisons
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0kh30-z5z4YPGPNnxAD8OVC5sDIgkBJcZCFCZEsSx8VPh5JOJXUgRKEtv7m0qos-IYOMB3KXcA4j1tTst*wdJam/S1.jpg?width=640)
SUAREZ ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA