Dk. Magufuli abeba ajenda ya Dk. Slaa
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.
Waandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Magufulii.jpg)
DK MAGUFULI: AJENDA NI MAENDELEO, SI KUSHABIKIA VYAMA
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
9 years ago
Habarileo09 Oct
Slaa: Rais wangu ni Dk Magufuli
KATIBU Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema anamkubali kwa asilimia 90 mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akisema anafaa kwa nafasi hiyo kwa kuwa ni jasiri na ana uwezo wa kupambana na ufisadi.
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Dk. Slaa, Magufuli kuitikisa Dar
KITENDAWILI cha kumpata mgombea urais wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), huenda kikateguliwa kesho kwa vyama hivyo kumtangaza Dk. Wilbrod Slaa.
Ukawa inaundwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR Mageuzi, Chama cha Wananchi (CUF) na NLD.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kutoka ndani ya vikao vya Ukawa vilivyofanyika mfululizo mwishoni mwa wiki, pamoja na mnyukano uliokuwapo, hatimaye vyama hivyo vinatarajia kutoka na jina moja la mgombea...
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Kanda ya Ziwa wawachambua Magufuli, Slaa
WAKAZI mbalimbali wa mikoa ya Kanda ya Ziwa wamewachambua wagombea urais, Dk.
Mwandishi Wetu
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/9UepnYcT9Hk/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Slaa: Magufuli anafaa kuwa rais
Na Khamis Mkotya, Dar
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa, amempigia debe mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akisema kuwa anafaa kuwa rais wa awamu ya tano.
Dk. Slaa amedhihirisha hisia zake hizo juzi usiku wakati akihojiwa katika kipindi maalumu kilichoandaliwa na kurushwa na Kituo cha Televisheni cha Star TV.
Dk. Slaa ambaye alizungumzia masuala mbalimbali, alisema anamuunga mkono Dk. Magufuli kwa kuwa ni...
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Magufuli ammwagia sifa Dk. Willbrod Slaa
NA BAKARI KIMWANGA, HANANG’ KWAANGW’
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amemsifu aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa na kusema ni kiongozi safi anayewapenda Watanzania.
Alisema kama Dk. Slaa, angekuwa anagombea nafasi yoyote angewaambia Watanzania ni mtu safi mwenye uchungu na taifa lake.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana katika mikutano yake ya kampeni aliyoifanya majimbo ya...
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Dk John Magufuli ammwagia sifa Dk Slaa Karatu