Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DK MAGUFULI: AJENDA NI MAENDELEO, SI KUSHABIKIA VYAMA

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka Watanzania kuweka vyama vyao pembeni, badala yake kuweka mbele ajenda ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni katika jimbo la Buyungu, wilaya ya Kakonko, mkoani Kigoma, Dk Magufuli alisema vyama vya siasa siyo maendeleo ya wananchi, bali wananchi wanahitaji maendeleo zaidi ya vyama vyao....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hemedy PHD: Ningependa wasanii tusaidie kutoa elimu ya upigaji kura kuliko kushabikia vyama

Hemedy PHD amedai hajajifunga na chama chochote cha siasa kama ilivyo kwa wasanii wengi na kwamba jambo la muhimu zaidi ambalo anaamini wangefanya ni kusaidia kueneza elimu ya upigaji kura. Hemedy ameiambia Bongo5 kuwa wananchi wengi hawana elimu hiyo na hapendi kuona limefumbiwa macho. “Wenye haki ya kupiga kura tayari ni wengi, wengi wamekua na […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ajenda ya usawa wa kijinsia ni ya vyama vya siasa?

DHANA ya usawa wa jinsia inatumika pale ambapo jamii imeweza kuondoa tabaka lililojengeka katika kufikia, kumiliki na kufaidi rasilimali zinazoshikika na zisizoshikika katika jamii husika. Kimantiki usawa wa jinsia ni...

 

10 years ago

Habarileo

Ajenda mpya ya maendeleo duniani Septemba

VIONGOZI kutoka zaidi ya nchi 150 zinazoendelea na zilizoendelea, wanatarajiwa kupitisha ajenda mpya ya maendeleo endelevu baada ya mwaka 2015 ( SDGs).

 

10 years ago

Habarileo

JK: Suala la ajira liwe ajenda ya maendeleo

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema kuna umuhimu mkubwa wa kuweka suala la ajira katika ajenda ya maendeleo, mipango na programu ya Mataifa yote duniani.

 

9 years ago

Raia Mwema

Dk. Magufuli abeba ajenda ya Dk. Slaa

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.

Waandishi Wetu

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Wana CCM msibague vyama

Pg 1 magufuliNA BAKARI KIMWANGA, RUVUMA

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amewataka wagombea ubunge na udiwani kupitia chama hicho, kutowabagua watu watakaowachagua kwa itikadi za vyama vyao.

Alisema suala la maendeleo halibagui, hivyo wana wajibu wa kumsikiliza kila mtu badala ya kusukumwa na itikadi za vyama.

Akizungumza katika mikutano yake ya kampeni mkoani Ruvuma jana, Dk. Magufuli alisema uongozi unahitaji uvumilivu na kwamba yeye atakuwa rais wa Watanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakodishwa kushabikia michezo

Wanaume husukumana kuwan ia kupanda basi. Wengine hujipenyeza madirishani wakitumia matairi makubwa kama ngazi za kupandia na hivyo kuacha alama za viatu vyao kwenye mabasi yenye rangi yeupe.

 

9 years ago

Habarileo

Vyama vya siasa, wasomi wamtaka Magufuli

SHIRIKISHO la Vyama vya Siasa nje ya Ukawa Mkoa wa Mbeya na Mtandao wa Wasomi na Wanataaluma vimetangaza rasmi kumuunga mkono Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani