Magufuli: Wana CCM msibague vyama
NA BAKARI KIMWANGA, RUVUMA
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amewataka wagombea ubunge na udiwani kupitia chama hicho, kutowabagua watu watakaowachagua kwa itikadi za vyama vyao.
Alisema suala la maendeleo halibagui, hivyo wana wajibu wa kumsikiliza kila mtu badala ya kusukumwa na itikadi za vyama.
Akizungumza katika mikutano yake ya kampeni mkoani Ruvuma jana, Dk. Magufuli alisema uongozi unahitaji uvumilivu na kwamba yeye atakuwa rais wa Watanzania...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA AONGOZA SHUGHULI YA WANA CCM KUMDHAMINI MAGUFULI
5 years ago
CCM BlogWANA CCM RUANGWA WAMIMINIKA KUMDHAMINI DK. MAGUFULI, 2,565 WAJITOKEZA
RUANGWA, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameongoza wanachama 314 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ruangwa, Lindi katika kujaza fomu za kumdhamini Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuteuliwa kugombea tena nafasi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/pmfRDHCmruk/default.jpg)
10 years ago
MichuziWANA CCM MKOANI SINGIDA, TABORA NA SHINYANGA WAJITOKEZA KUMDHAMINI WAZIRI MAGUFULI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Iglmw3gchdM/VcjfEU8qM3I/AAAAAAAHvy8/tmnRTsen1iA/s72-c/_MG_4845.jpg)
MAGUFULI AWASHUKURU WANA CCM WA MTWARA KWA KUMDHAMINI,WAMUHAKIKISHIA USHINDI WA KISHINDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Iglmw3gchdM/VcjfEU8qM3I/AAAAAAAHvy8/tmnRTsen1iA/s640/_MG_4845.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vD2hqswBcao/VcjewgLKV3I/AAAAAAAHvyk/ffKDx75Ymvs/s640/_MG_4706.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cxeL6-vd8lY/Xu0IJiyqe_I/AAAAAAALurs/Tcz1Eaw6EOoBJ3giKaCfVpTXEWqUzO_0wCLcBGAsYHQ/s72-c/730618f6-61b0-4672-9ca3-bb8344e72946.jpg)
WANA CCM MANYONI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI RAIS DKT MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxeL6-vd8lY/Xu0IJiyqe_I/AAAAAAALurs/Tcz1Eaw6EOoBJ3giKaCfVpTXEWqUzO_0wCLcBGAsYHQ/s640/730618f6-61b0-4672-9ca3-bb8344e72946.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a9285cc7-b91f-48ed-b1fc-cca10e829e47.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s72-c/_MG_3326.jpg)
MAGUFULI AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMANA NA KUWA WAMOJA HASA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s640/_MG_3326.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--X4-_THewSc/VcW2rqCVoKI/AAAAAAAC9ck/UxO4hIOghF4/s640/_MG_3338.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s72-c/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s640/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania