Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Suala la ajira liwe ajenda ya maendeleo

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema kuna umuhimu mkubwa wa kuweka suala la ajira katika ajenda ya maendeleo, mipango na programu ya Mataifa yote duniani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ajenda mpya ya maendeleo duniani Septemba

VIONGOZI kutoka zaidi ya nchi 150 zinazoendelea na zilizoendelea, wanatarajiwa kupitisha ajenda mpya ya maendeleo endelevu baada ya mwaka 2015 ( SDGs).

 

9 years ago

GPL

DK MAGUFULI: AJENDA NI MAENDELEO, SI KUSHABIKIA VYAMA

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka Watanzania kuweka vyama vyao pembeni, badala yake kuweka mbele ajenda ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni katika jimbo la Buyungu, wilaya ya Kakonko, mkoani Kigoma, Dk Magufuli alisema vyama vya siasa siyo maendeleo ya wananchi, bali wananchi wanahitaji maendeleo zaidi ya vyama vyao....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kusotea ajira kigingi cha maendeleo

TATIZO la ukosefu wa ajira nchini linazidi kuongezeka kila kukicha. Vijana wanaomaliza vyuo vikuu kila mwaka wanakadiriwa kuwa 500,000, lakini wanaoajiriwa ni 30,000. Hii ni dhahiri kuwa idadi kubwa ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA, UFISADI WA ESROW,TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA SEMA HAPA KUJUA



Pichani ni Rais wa mpya chama cha Wafanyakazi nchi TUCTA Gration Mukoba picha na Maktaba
Na karoli Vinsent
CHAMA cha Wafanya kazi nchini (TUCTA) nao wamejitosa Kwa mara ya Kwanza kwenye sakata la Ufisadi wa zaidi ya bilioni 400 za kitanzania kwenye Akaunti ya Escrow na kusema chama hicho hakiwezi kukubaliana na ufisadi huo na kuitaka serikali kuwachukulia hatua kali ya watu wote waliohusika na wizi.
Na kama endapo Bunge pamoja na serikali hawatawachukulia hatua zozote Viongozi...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA WA MATAIFA KATIKA MKUTANO WA KUPATA MAENDELEO ENDELEVU KWA KUKUZA AJIRA NA KAZI ZA UTU

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu (Achieving sustainable development through employment creation and decent work) tarehe 30 Aprili, 2015 katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York, Marekani.Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiondoka baada ya yeye kuhutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA W MATAIFA KATIKA MKUTANO WA KUPATA MAENDELEO ENDELEVU KWA KUKUZA AJIRA NA KAZI ZA UTU

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu (Achieving sustainable development through employment creation and decent work) tarehe 30 Aprili, 2015 katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York, Marekani.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu (Achieving...

 

10 years ago

Mwananchi

Membe, Lowassa liwalo na liwe

Dar es Salaam. Makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao ni miongoni mwa wanaotajwa kutaka kuwania nafasi ya urais, wamefanya uamuzi mgumu wa kutangaza kutogombea tena ubunge kwenye majimbo yao.

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA

Afisa Habari wa Wakala wa Ajira Tanzania (TaESA) Jamilah Mbarouk akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mkakati wao wa kuanzisha mafunzo ili kuweza kuwasaidia vijana wahitimu ili wakabiliane na soko la ajira, Wakala umekuwa ukitoa mafunzo ya namna ya kushindania fursa za ajira. Mafunzo haya yamevutia watafutakazi wengi ambao tayari wako sokoni na walioko vyuoni. Aidha mafunzo haya yamewabadilisha vijana wengi waliohudhuria kuhusu suala zima la kuajiriwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Taifa liwe macho na mikataba ya wawekezaji

Tanzania ni taifa lililobarikiwa rasilimali nyingi zikiwamo madini ya aina mbalimbali, ambayo kama kweli zitasimamiwa vizuri zitasaidia kwa haraka kukuza uchumi wetu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani