Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taifa liwe macho na mikataba ya wawekezaji

Tanzania ni taifa lililobarikiwa rasilimali nyingi zikiwamo madini ya aina mbalimbali, ambayo kama kweli zitasimamiwa vizuri zitasaidia kwa haraka kukuza uchumi wetu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Muhongo ataka wawekezaji kuepuka mikataba ya rushwa

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ameyataka mashirika yanayotaka kuwekezaji kwenye Sekta ya Gesi na Mafuta nchini, yajiepushe kusaini mikataba ya rushwa ili kuepuka migogoro ya kimaslahi. Muhongo...

 

11 years ago

Mwananchi

Ranchi ya Taifa Mkata kupewa wawekezaji

Wizara ya Mifugo na Uvuvi inakusudia kutoa kwa wawekezaji kutoka Marekani, eneo la Ranchi ya Taifa ya Mkata lililopo wilayani Kilosa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwekezaji: Ni hatari mikataba ya taifa kuwa siri ya viongozi

Tangu gesi asili ilipogunduliwa maeneo mbalimbali ya nchi ikiwamo Mtwara miaka ya hivi karibuni maswali mengi yameibuka juu ya namna rasilimali hizo zitakavyowanufaisha wananchi hususan kuwatoa katika lindi la umaskini.

 

9 years ago

Vijimambo

WAWEKEZAJI UTURUKI WAALIKWA KUWEKEZA HIFADHI ZA TAIFA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa(TANAPA) Allan Kijazi  akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp(katikati)aliyefika makao makuu ya Shirika hilo leo,kulia ni Katibu Msaidizi wa Ubalozi wa Uturuki,Berat Colak.Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la TANAPA, Allan Kijazi alipotembelea Makao Makuu ya shirika hilo  jijini Arusha.   
 Katibu Msaidizi wa Ubalozi wa Uturuki, Berat Colak (kushoto)...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar

Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho.Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin akimfanyia vipimo mtoto Sabrina Abdalla Salum katika zoezi linalofanyika Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka...

 

10 years ago

Vijimambo

TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA, UFISADI WA ESROW,TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA SEMA HAPA KUJUA



Pichani ni Rais wa mpya chama cha Wafanyakazi nchi TUCTA Gration Mukoba picha na Maktaba
Na karoli Vinsent
CHAMA cha Wafanya kazi nchini (TUCTA) nao wamejitosa Kwa mara ya Kwanza kwenye sakata la Ufisadi wa zaidi ya bilioni 400 za kitanzania kwenye Akaunti ya Escrow na kusema chama hicho hakiwezi kukubaliana na ufisadi huo na kuitaka serikali kuwachukulia hatua kali ya watu wote waliohusika na wizi.
Na kama endapo Bunge pamoja na serikali hawatawachukulia hatua zozote Viongozi...

 

10 years ago

Mwananchi

Membe, Lowassa liwalo na liwe

Dar es Salaam. Makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao ni miongoni mwa wanaotajwa kutaka kuwania nafasi ya urais, wamefanya uamuzi mgumu wa kutangaza kutogombea tena ubunge kwenye majimbo yao.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Suala la ajira liwe ajenda ya maendeleo

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema kuna umuhimu mkubwa wa kuweka suala la ajira katika ajenda ya maendeleo, mipango na programu ya Mataifa yote duniani.

 

11 years ago

Habarileo

Wapendekeza Bunge la Katiba liwe na Siwa yake

KAMATI ya Kumshauri Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba kuhusu Kanuni za Bunge, imependekeza kuwe na Siwa mahsusi yenye uzito wa kilo 4.5 ikiwa na madini ya dhahabu na aluminium. Imependekeza zitengenezwe mbili ili moja iwekwe kama kumbukumbu upande wa Tanzania Bara na ya pili iwe ni kumbukumbu kwa Tanzania Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani