WAWEKEZAJI UTURUKI WAALIKWA KUWEKEZA HIFADHI ZA TAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-N_Yw3rcxmoo/VflpyjFaAPI/AAAAAAAAEvY/C3xIVT0MFCk/s72-c/1.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa(TANAPA) Allan Kijazi akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp(katikati)aliyefika makao makuu ya Shirika hilo leo,kulia ni Katibu Msaidizi wa Ubalozi wa Uturuki,Berat Colak.
Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la TANAPA, Allan Kijazi alipotembelea Makao Makuu ya shirika hilo jijini Arusha.
Katibu Msaidizi wa Ubalozi wa Uturuki, Berat Colak (kushoto)...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wawekezaji 65 kuwekeza nchini
ZAIDI ya wawekezaji 65 wanatarajiwa kuja nchini kuwekeza katika sekta mbalimbali za maendeleo ikiwemo viwanda na utalii. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alibainisha hayo...
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Wawekezaji Oman wajipanga kuwekeza
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ohmLQon8Rx4/Xkv2Xsz_b0I/AAAAAAALd_g/zWoW5bu5yiQbg0nPL3rsSIOnvnJF6vNIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ITALIA YAAHIDI KUWEKEZA KATIKA HIFADHI YA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ohmLQon8Rx4/Xkv2Xsz_b0I/AAAAAAALd_g/zWoW5bu5yiQbg0nPL3rsSIOnvnJF6vNIgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CFSZuowQfhY/Xkv2YR6YyHI/AAAAAAALd_o/JYZv1ai2dXYBRe5LSLEC8OyHoxZ8lev5QCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0DCEyXrBmt0/XkhKjTzUpkI/AAAAAAALdig/5FyzI8rz1lUANsDvszP9jXXtoESlsdylACLcBGAsYHQ/s72-c/scan.jpg)
10 years ago
VijimamboMaalim Seif awavuta wawekezaji wa Ulaya kuwekeza kwenye biashara za viungo na utalii
Na: Khamis Haji, Milan...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QgdIE_bpGeA/XtlOahKTaGI/AAAAAAALspQ/wJ3bDg_M-SwxmFfI6nwCY-n40AdAu9U8ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_9634.jpg)
WAZIRI MPINA AWATAKA WAWEKEZAJI NCHINI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA USINDIKAJI WA MAZIWA
SERIKALI imezitaka Halmashauri zote nchini kuzingatia bei elekezi ya chanjo ya mifugo na atakayekaidi hatua kali za kisheria na kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina leo jijini Dodoma wakati akihitimisha wiki ya Maziwa duniani ambapo ametumia nafasi hiyo kuwataka wenye viwanda vya kusindika maziwa kuongeza uzalishaji zaidi.
Waziri Mpina ametumia nafasi hiyo pia kuiagiza Bodi ya Maziwa na Wadau wote wa maziwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0VR7EmyxD6g/Xr6sWZbjkXI/AAAAAAALqX4/9iWRfMPCKuw9bnMan2rCkKTU74Db9gyowCLcBGAsYHQ/s72-c/614bea9b-8a83-4170-854a-8d8ffbe2e406.jpg)
MKURUGENZI HALMASHAURI YA MWANGA AFUNGUKA FURSA ZA KIUCHUMI ZILIZOPO, AWAITA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE UTALII
Charles James, Michuzi TV
NYUMBANI kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa David Msuya. Nyumbani kwa Aliyekua Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk Asha-Rose Migiro. Ndipo nyumbani pia kwa Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Prof Jumanne Maghembe.
Naizungumzia Wilaya ya Mwanga iliyopo Kilimanjaro. Wilaya ambayo licha ya kutawaliwa na milima mingi lakini ina miundombinu madhubuti ya barabara na nishati ya umeme pia.
Wilaya ya Mwanga licha ya kuwa na Tarafa sita lakini umaarufu wa Tarafa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbC164QI4Do/Xp6DizYcBGI/AAAAAAALnps/6ImHPyXN7SENZIV-B_Hx1AVXEEg8JEwyACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)