Ajenda mpya ya maendeleo duniani Septemba
VIONGOZI kutoka zaidi ya nchi 150 zinazoendelea na zilizoendelea, wanatarajiwa kupitisha ajenda mpya ya maendeleo endelevu baada ya mwaka 2015 ( SDGs).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Apr
JK: Suala la ajira liwe ajenda ya maendeleo
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna umuhimu mkubwa wa kuweka suala la ajira katika ajenda ya maendeleo, mipango na programu ya Mataifa yote duniani.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Magufulii.jpg)
DK MAGUFULI: AJENDA NI MAENDELEO, SI KUSHABIKIA VYAMA
11 years ago
BBCSwahili28 May
Viongozi wa EU kujadiliana ajenda mpya
10 years ago
Bongo Movies26 Jun
Filamu Mpya ya Lulu Kuzinduliwa Septemba, Mwaka Huu
Filamu mpya ya Staa wa Bongo Movie,Elizabeth Michael ‘Lulu’ inatarajiwa kuzinduliwa mwezi Septemba mwaka huu.
Filamu hiyo iliyotumia gharama kubwa itazinduliwa mara tatu ikipendezeshwa na ‘Red Carpet’ kwenye sinema,kwa waandishi wa habari na kwa mashabiki wa msanii huyo.
Cloudsfm.com
10 years ago
MichuziRASIMU YA KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA KUWASILISHWA BUNGENI SEPTEMBA 24 MWAKA HUU
RASIMU ya Katiba Mpya iliyopendekezwa inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge Maalum la Katiba Septemba 24, mwaka huu.
Mabadiliko hayo yametangazwa leo jioni na Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahya Khamis Hamad wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Aidha Katibu huyo amesema uamuzi wa mabadiliko hayo, umetokana na kufanyika kikao baina ya Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi.
Hata hivyo Katibu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s72-c/PIX%2B1%2B(1).jpg)
Wabunge wanawake wasisitiza ajenda ya hamsini kwa hamsini kutokakwepeka katika Katiba Mpya ijayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s1600/PIX%2B1%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MB_FaimexKE/VBWN8hPwR-I/AAAAAAAGjio/sDqgzccOH7k/s1600/PIX%2B3%2B(1).jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Tanzania kuongoza utekelezaji wa malengo mapya ya maendeleo duniani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano wa 70 wa Umoja wa Maiataifa akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula.
-Imeteuliwa mongoni mwa nchi nane tu duniani kufanya kazi hiyo
-Rais Kikwete amesema kuwa Tanzania iko tayari kuifanya kazi hiyo
Tanzania ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p7IW5tuthFk/VS0r_buka9I/AAAAAAAHRIY/jGBdqe8X9zU/s72-c/unnamed.jpg)
TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA TATU WA MAENDELEO ENDELEVU YA MIJI NA MAKAZI DUNIANI NCHINI KENYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p7IW5tuthFk/VS0r_buka9I/AAAAAAAHRIY/jGBdqe8X9zU/s1600/unnamed.jpg)
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA (TCDC) WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa na Bango la maandamano lenye Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa katika maandamano...