Viongozi wa EU kujadiliana ajenda mpya
Viongozi wa Jumuiya ya Ulaya wamekubaliana kuchunguza upya ajenda ya muungano huo baada ya wapiga kura "kutoa ujumbe mzito",
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Aug
Ajenda mpya ya maendeleo duniani Septemba
VIONGOZI kutoka zaidi ya nchi 150 zinazoendelea na zilizoendelea, wanatarajiwa kupitisha ajenda mpya ya maendeleo endelevu baada ya mwaka 2015 ( SDGs).
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s72-c/PIX%2B1%2B(1).jpg)
Wabunge wanawake wasisitiza ajenda ya hamsini kwa hamsini kutokakwepeka katika Katiba Mpya ijayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s1600/PIX%2B1%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MB_FaimexKE/VBWN8hPwR-I/AAAAAAAGjio/sDqgzccOH7k/s1600/PIX%2B3%2B(1).jpg)
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Kerry na Putin kujadiliana kuhusu Syria
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vVcPfg4Jkkc/UxnWEzpTKII/AAAAAAACbzM/omIOP4odsWQ/s72-c/unnamed.jpg)
Wanafunzi wa Sekondari Tanzania Sasa Wanaweza Kujadiliana Mtandaoni Popote Walipo
![](http://4.bp.blogspot.com/-vVcPfg4Jkkc/UxnWEzpTKII/AAAAAAACbzM/omIOP4odsWQ/s1600/unnamed.jpg)
Kwa siku za hivi karibuni matokeo ya mitihani yamekuwa sio mazuri sana na kuna baadhi ya watu wengi wanalaumu mitandao ya kijamii na internet kwa hili, kwamba inawafanya wanafunzi wawe busy kufanya mambo yasiyo ya msingi na kusahau kusoma.
Kwa kiasi Fulani ni kweli kwani kumekuwa na ongezeko la idadi ya vijana nchini Tanzania wanaojiunga na mitandao ya kijamii na internet kwa ujumla. Hata hivyo, ongezeko hili sio jambo la kuliangalia kwa jicho baya bali kulikumbatia kwani linaweza...
10 years ago
MichuziNYALANDU ATINGA LOLIONDO KUJADILIANA NA MADIWANI KUHUSIANA NA MGOGORO WA ARDHI KATIKA MAENO HAYO
9 years ago
MichuziWADAU WA AFYA MKOANI MBEYA WAKUTANA NA KUJADILIANA KUELEKEA SIKU YA MAADHIMISHO YA UKIMWI DUNIANI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--xAirmRwi8c/Vkt-mMrwArI/AAAAAAAIGek/ilyEFNW4EpU/s72-c/unnamed.jpg)
Kuweka Umeme Afrika: Mkutano kufanyika Tanzania kujadiliana kuhusu mageuzi katika sekta ya kawi Nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/--xAirmRwi8c/Vkt-mMrwArI/AAAAAAAIGek/ilyEFNW4EpU/s640/unnamed.jpg)
Mkutano wa kila mwaka wa Kuwezeka umeme Afrika: Kongamano la Uwekezaji la Tanzania litafanyika Hyatt Regency Dar es Saalam, Hoteli ya Kilimanjaro kuanzia 3-4 Desemba 2015
Mkutano ule utalenga siku za usoni za sekta ya kawi ya Tanzania kufuatia uchaguzi wa hivi majuzi, kutambua nafasi za uwekezaji na kubuni maushurikiano muhimu kati ya wahusika kutoka sekta ya kibinafsi na ya umma. Dhibitisho za hivi karibuni za January Makamba, Mbunge wa Bumbuli, Tanzania, waakilishi kutoka...
10 years ago
Habarileo25 Feb
Viongozi wapewa ushauri wa Katiba mpya
SERIKALI mkoani Kagera imewashauri viongozi wa kidini na kisiasa kulitazama suala la Katiba mpya kwa maslahi ya nchi na si kwa maslahi ya mtu binafsi na vyama fulani ili kuepuka kuwapoteza wananchi ambao wameanza kukosa mwelekeo.
10 years ago
Habarileo01 Mar
RC aagiza viongozi kata kusambaza Katiba mpya
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amewaagiza viongozi wote wa ngazi za kata, vitongoji na mitaa, kuhakikisha nakala za Katiba Inayopendekezwa, zinawafikia walengwa na kusimamia ipasavyo ugawaji wa nakala hizo.