RC aagiza viongozi kata kusambaza Katiba mpya
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amewaagiza viongozi wote wa ngazi za kata, vitongoji na mitaa, kuhakikisha nakala za Katiba Inayopendekezwa, zinawafikia walengwa na kusimamia ipasavyo ugawaji wa nakala hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Feb
Viongozi wapewa ushauri wa Katiba mpya
SERIKALI mkoani Kagera imewashauri viongozi wa kidini na kisiasa kulitazama suala la Katiba mpya kwa maslahi ya nchi na si kwa maslahi ya mtu binafsi na vyama fulani ili kuepuka kuwapoteza wananchi ambao wameanza kukosa mwelekeo.
10 years ago
Bongo505 Nov
Waziri wa Uganda aagiza Desire Luzinda na boyfriend wake wakamatwe na kushitakiwa kwa kusambaza picha za utupu
10 years ago
GPLJK AAGIZA KIDATO CHA 5,6 KILA KATA
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Viongozi wa dini waiweka Serikali pabaya kuhusu Katiba Mpya
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
Viongozi, wanaharakati wataka Katiba Mpya imtambue mtoto na haki zake
![Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika yanayofanya kazi na Watoto Tanzania ambaye pia ni Mratibu Miradi, Kituo cha Watoto wa Mtaani cha Dogodogo Kigogo (Dogodogo Centre Street Children Trust), Sabas Masawe.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/Mwenyekiti-wa-Mtandao-wa-Mashirika-yanayofanya-kazi-na-Watoto-Tanzania-ambaye-pia-ni-Mratibu-Miradi-Kituo-cha-Watoto-wa-Mtaani-cha-Dogodogo-Kigogo-Dogodogo-Centre-Street-Children-Trust-Sabas-Masawe..jpg)
Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika yanayofanya kazi na Watoto Tanzania ambaye pia ni Mratibu Miradi, Kituo cha Watoto wa Mtaani cha Dogodogo Kigogo (Dogodogo Centre Street Children Trust), Sabas Masawe.
MCHAKATO wa kujadili na kuandika Katiba Mpya unaendelea bungeni mjini Dodoma, licha ya kuwepo kwa mvutano na mgawanyiko wa makundi ya wabunge wa bunge maalumu wanaojadili Rasimu ya Pili iliyowasilishwa kwao. Wakati hayo yakiendelea viongozi, wanaharakati na wadau wa watoto wanapendekeza...
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/Mwenyekiti-wa-Mtandao-wa-Mashirika-yanayofanya-kazi-na-Watoto-Tanzania-ambaye-pia-ni-Mratibu-Miradi-Kituo-cha-Watoto-wa-Mtaani-cha-Dogodogo-Kigogo-Dogodogo-Centre-Street-Children-Trust-Sabas-Masawe..jpg)
VIONGOZI, WANAHARAKATI WATAKA KATIBA MPYA IMTAMBUE MTOTO NA HAKI ZAKE
11 years ago
Habarileo26 Feb
Azaki kusambaza elimu ya rasimu ya Katiba
MUUNGANO wa Asasi za Kiraia nchini (AZAKI) umezindua kampeni ya kitaifa ya kusambaza uelewa wa rasimu ya pili ya Katiba kwa wananchi. Muungano huo umewataka wabunge wa Bunge la Katiba, kutokiuka maoni yaliyotolewa na wananchi.
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Serikali yaanza kusambaza Katiba Inayopendekezwa
Waziri Migiro akiongea na baadhi ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Na Mwandishi Wetu
Serikali imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro amesema leo (Jumatano, Februari 11, 2015) jijini Dar es Salaam kuwa kati ya nakala hizo zilizochapwa jijini Dar es Salaam, nakala 1,800,000...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s72-c/IMG_1901.jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s1600/IMG_1901.jpg)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
![](http://4.bp.blogspot.com/-sq5B5OozAMU/U8gvn-BR5AI/AAAAAAAA9rI/vAXGlkoA78g/s1600/IMG_1950.jpg)
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-M28s6kVPyoc/U8gviRciOpI/AAAAAAAA9q4/r0qaKcHaND8/s1600/IMG_1936.jpg)
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-McpOCDMYJC8/U8gvfVKJWzI/AAAAAAAA9qw/brBrfUklC2g/s1600/IMG_1920.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LEOwJM6ut50/U8gvb6GfPPI/AAAAAAAA9qo/4nE-b3qltBc/s1600/IMG_1910.jpg)
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...