Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wapewa ushauri wa Katiba mpya

SERIKALI mkoani Kagera imewashauri viongozi wa kidini na kisiasa kulitazama suala la Katiba mpya kwa maslahi ya nchi na si kwa maslahi ya mtu binafsi na vyama fulani ili kuepuka kuwapoteza wananchi ambao wameanza kukosa mwelekeo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tusiposikiliza ushauri, tutaandaa katiba mpya itakayovuruga amani

KUMEKUWEPO na hoja zinazotolewa na pande zote kuwa mchakato wa kuandika upya Katiba mpya usitishwe kwa muda ili kutafuta maridhiano na  kusahihisha baadhi ya kasoro za kisheria na kikanuni  zinazolalamikiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Bomani atoa ushauri kupata Katiba Mpya

>Jaji mstaafu Mark Bomani amelishauri Bunge Maalumu la Katiba kuweka kando suala la muundo wa serikali kwa kuwa ndiyo chanzo cha mgawanyiko mkubwa baina ya wajumbe.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijana wapewa ushauri wa kibiashara

VIJANA wa Tanzania wametakiwa kuwekeza katika mikoa mbalimbali hususani Lindi na Mtwara ili kuepusha msongamano katika jiji la Dar es Salaam. Hayo yamezungumzwa jana na Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi Tanga wapewa ushauri

WAZAZI wametakiwa kufuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni ikiwa ni pamoja na kushirikiana na walimu ili kuweza kuthibiti utoro. Akizungumza juzi wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Haki na Ulinzi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wapewa ushauri wa kupima afya

WANAWAKE wametakiwa kujenga mazoea ya kupima saratani ya shingo ya kizazi mapema ili waweze kupata tiba iwapo watagundulika kuwa na dalili za ugonjwa huo. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili Dk...

 

10 years ago

Habarileo

RC aagiza viongozi kata kusambaza Katiba mpya

Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Chiku GallawaMKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amewaagiza viongozi wote wa ngazi za kata, vitongoji na mitaa, kuhakikisha nakala za Katiba Inayopendekezwa, zinawafikia walengwa na kusimamia ipasavyo ugawaji wa nakala hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dini waiweka Serikali pabaya kuhusu Katiba Mpya

Dar es Salaam. Viongozi wa dini za Kikristo na Kiislamu wameendelea kuiweka Serikali katika wakati mgumu baada ya kusema hawataiunga mkono Katiba Inayopendekezwa ikiwa matakwa yao hayatazingatiwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi, wanaharakati wataka Katiba Mpya imtambue mtoto na haki zake

Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika yanayofanya kazi na Watoto Tanzania ambaye pia ni Mratibu Miradi, Kituo cha Watoto wa Mtaani cha Dogodogo Kigogo (Dogodogo Centre Street Children Trust), Sabas Masawe.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika yanayofanya kazi na Watoto Tanzania ambaye pia ni Mratibu Miradi, Kituo cha Watoto wa Mtaani cha Dogodogo Kigogo (Dogodogo Centre Street Children Trust), Sabas Masawe.

MCHAKATO wa kujadili na kuandika Katiba Mpya unaendelea bungeni mjini Dodoma, licha ya kuwepo kwa mvutano na mgawanyiko wa makundi ya wabunge wa bunge maalumu wanaojadili Rasimu ya Pili iliyowasilishwa kwao. Wakati hayo yakiendelea viongozi, wanaharakati na wadau wa watoto wanapendekeza...

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI, WANAHARAKATI WATAKA KATIBA MPYA IMTAMBUE MTOTO NA HAKI ZAKE‏

Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika yanayofanya kazi na Watoto Tanzania ambaye pia ni Mratibu Miradi, Kituo cha Watoto wa Mtaani cha Dogodogo Kigogo (Dogodogo Centre Street Children Trust), Sabas Masawe. Mkuu wa Mkoa wa Tabora Fatma Mwasa akizungumza na mwandishi wa makala haya. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Watoto na Jinsia wa Tanzania, Anna Maembe akizungumza na mwandishi wa makala… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani