Wazazi Tanga wapewa ushauri
WAZAZI wametakiwa kufuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni ikiwa ni pamoja na kushirikiana na walimu ili kuweza kuthibiti utoro. Akizungumza juzi wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Haki na Ulinzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Vijana wapewa ushauri wa kibiashara
VIJANA wa Tanzania wametakiwa kuwekeza katika mikoa mbalimbali hususani Lindi na Mtwara ili kuepusha msongamano katika jiji la Dar es Salaam. Hayo yamezungumzwa jana na Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya...
10 years ago
Habarileo25 Feb
Viongozi wapewa ushauri wa Katiba mpya
SERIKALI mkoani Kagera imewashauri viongozi wa kidini na kisiasa kulitazama suala la Katiba mpya kwa maslahi ya nchi na si kwa maslahi ya mtu binafsi na vyama fulani ili kuepuka kuwapoteza wananchi ambao wameanza kukosa mwelekeo.
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Wanawake wapewa ushauri wa kupima afya
WANAWAKE wametakiwa kujenga mazoea ya kupima saratani ya shingo ya kizazi mapema ili waweze kupata tiba iwapo watagundulika kuwa na dalili za ugonjwa huo. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili Dk...
10 years ago
Michuzi03 Jul
MAKATIBU WAPEWA PIKIPIKI NA JUMUIYA YA WAZAZI MKOA WA ARUSHA
![SAM_3542](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/-_OIpLaiznD9W9_-mvcKhtVs9Ttj5NN6xdXZD5ti6sYmu34kYi3wpPQCSvUcnGLesXoZKfQRcPgYtFXGkcXAE-8HLICjF_E7yS5Src65c1yKuMc=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3542.jpg)
10 years ago
Michuzi03 Jul
MAKATIBU WA CCM MKOA WA ARUSHA WAPEWA PIKIPIKI NA JUMUIYA YA WAZAZI MKOA
![SAM_3542](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/-_OIpLaiznD9W9_-mvcKhtVs9Ttj5NN6xdXZD5ti6sYmu34kYi3wpPQCSvUcnGLesXoZKfQRcPgYtFXGkcXAE-8HLICjF_E7yS5Src65c1yKuMc=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3542.jpg)
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA TANGA MGENI RASMI MISS TANGA 2014
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TANGA CEMENT WAFANYA USAFI SOKO KUU LA MJINI TANGA LA NGAMIANI
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YATOA VIFAA 85 VITAKAVYOTUMIKA KWA AJILI YA USAFI MKOANI TANGA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akimkabidhi vifaa vya 85 vitakavyotumika kwa ajili ya usafi kwenye wilaya tatu zilizopo mkoani Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto ili viweze kusambazwa maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni,hospitalini na stendi sambamba na kujenga masinki ya kunawia mikono kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari na Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Upendo Lugongo na wa...