Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana wapewa ushauri wa kibiashara

VIJANA wa Tanzania wametakiwa kuwekeza katika mikoa mbalimbali hususani Lindi na Mtwara ili kuepusha msongamano katika jiji la Dar es Salaam. Hayo yamezungumzwa jana na Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Vijana kutanua wigo wa kibiashara Afrika na China kupitia mkutano wa jukwaa la viongozi vijana

IMG_2103

Balozi wa China nchini Tanzania Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akiongea na kushoto ni Naibu waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Mhe. Stephen Masele walipokutana kwenye ukumbi wa ubalozi huo kuzungumzia mkutano wa kimataifa wa viongozi vijana wa Afrika na China unatorajiwa kufanyika kuanzia Machi 27 na kumalizika Machi 31 katika Ukumbi wa Hoteli ya Ngurdoto, mkoani Arusha.

IMG_2136

Balozi wa China hapa nchini Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akijibu swali aliloulizwa na mwandishi wa habari (Hayupo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi Tanga wapewa ushauri

WAZAZI wametakiwa kufuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni ikiwa ni pamoja na kushirikiana na walimu ili kuweza kuthibiti utoro. Akizungumza juzi wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Haki na Ulinzi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wapewa ushauri wa kupima afya

WANAWAKE wametakiwa kujenga mazoea ya kupima saratani ya shingo ya kizazi mapema ili waweze kupata tiba iwapo watagundulika kuwa na dalili za ugonjwa huo. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili Dk...

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wapewa ushauri wa Katiba mpya

SERIKALI mkoani Kagera imewashauri viongozi wa kidini na kisiasa kulitazama suala la Katiba mpya kwa maslahi ya nchi na si kwa maslahi ya mtu binafsi na vyama fulani ili kuepuka kuwapoteza wananchi ambao wameanza kukosa mwelekeo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Vijana wilayani Kasulu wapewa somo kuhusu fursa za Mfuko wa Maendeleo ya Vijana

KS1a

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Dani Makanga akizungumza na wajumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo waliofika ofsini kwake kwa ajili ya kujitambulisha kabla ya kuendelea na ratiba yao ya mafunzo kwa Vijana wa Halmashauri za Kasulu na Bihigwe leo mjini Kasulu. Katikati ni Mkuu wa msafara huo ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Esther Riwa na wa kwanza kushoto ni Afisa Vijana wa wizara hiyo Bi. Amina...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sumaye awapa ushauri vijana

WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye amewataka vijana kutambua kuwa elimu ni zana muhimu hivyo wakiitumia vema itawaletea mabadiliko katika maisha yao. Sumaye alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Habarileo

Vijana Lindi wapewa onyo

VIJANA wa Wilaya ya Lindi Mjini wametahadharishwa kutokubali kudanganywa na kutumiwa kufanya vurugu ambazo zinaharibu vitu vichache walivyonavyo na kwa kufanya hivyo wanarudisha nyuma maendeleo yao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vijana wapewa kipaumbele kuajiriwa DRC

Zaidi ya vijana 300 waliomaliza elimu ya vyuo Kikuu, Jamuhuri ya Kidemokrai ya Congo wameanza rasmi ajira za umma.

 

10 years ago

Michuzi

Vijana wapewa changamoto ya kutumia uzazi wa mpango

Afisa Vijana wa UMATI kutoka Temeke Bibi. Upendo Daud akimkabidhi zawadi ya machapisho kuhusu Afya ya uzazi wa mpango Mwenyekiti wa Mtaa wa Sabasaba ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika Jamvi la Vijana lililofanyika katika mtaa wake. Jamvi la Vijana ni program ambayo inaendeshwa na UMATI kupitia Kituo cha Vijana YAM kutoka Manispaa ya Temeke, Jamvi hilo la vijana limebeba kauli mbiu ya “Kijana ana haki ya juu ya uzazi wa mpango?”Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Sabasaba wakipata maelezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani