Sumaye awapa ushauri vijana
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye amewataka vijana kutambua kuwa elimu ni zana muhimu hivyo wakiitumia vema itawaletea mabadiliko katika maisha yao. Sumaye alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo518 Aug
Mrisho Mpoto awapa ushauri wasanii wanaotegemea show
10 years ago
MichuziMIILI YOTE 23 YA AJALI YA BASI LA ANOTHER G NA LORI MUFINDI IRINGA YATAMBULIWA , DC MBONI AWAPA USHAURI TBS KUKAGUA UBORA WA VYOMBO VYA USAFIRI
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Bi Mboni Mhita (kushoto) akimfariji mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya basi la Another G na lori iliyoua 23 na kujeruhi 34 jana ,wengine pichani ni wajumbe wa kamati ya ulinzi na...
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Vijana wapewa ushauri wa kibiashara
VIJANA wa Tanzania wametakiwa kuwekeza katika mikoa mbalimbali hususani Lindi na Mtwara ili kuepusha msongamano katika jiji la Dar es Salaam. Hayo yamezungumzwa jana na Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya...
10 years ago
Dewji Blog10 Nov
Sumaye awaasa vijana
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye (pichani) amewataka vijana kutambua kuwa elimu ni zana muhimu hivyo wakiitumia vema itawaletea mabadiliko katika maisha yao.
Sumaye alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam katika mahafali ya nane ya chuo cha uongozi Azania.
Alisema vijana ambao wanapata nafasi mbalimbali za kusoma ni lazima wajue kuwa wamepata bahati ya pekee ya kutumikia nchi na jamii inayowategemea kwa ubora na ufanisi.
“Elimu ni ufunguo muhimu wa maisha, ukiutumia...
10 years ago
Habarileo17 May
Sumaye awanoa vijana
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amewataka vijana nchini kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ili wapate fursa ya kuchagua viongozi wanaowataka, lakini pia wanaoamini watakuwa suluhisho ya kero nyingi walizonazo wananchi.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PDuFvn5TOvOKLm8PuTK1FPh*Q1PO*C1IrIpW9wbWylR3DrBE6UdGC6RB3KERprC5mER1Kcj47G3Aa1O9D1qbyIwMMJRMxFpZ/nikkiwapili.jpg?width=650)
NIKKI WA PILI AWAPA SOMO VIJANA
10 years ago
Bongo Movies04 Apr
Faiza Awapa Makavu Vijana wa Aina Hii
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Faiza Ally ameonekana kuungwa mkono na wengi baada ya kuwatolea uvivu vijana wanaopenda mtelemko katika maisha na kufikia kufanywa vitendo visivyo faa.
“Vijana wa kiume wadogo wadogo wana danganya na wanaume wenzao - wanageuzwa kwa ajili ya ugumu wa maisha na tamaa - yarab stara kwa watoto wetu .....Habari za mji huu zina sikutisha sana - kumbe ndio maana siku hizi wanaume wanapenda mik*ndu uwiii tunaelekea wapiiiiii wenzangu ? mimi nasikitishwa natamani...
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Joel Bendera awapa somo askari vijana
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera amewataka askari vijana nchini kutumia muda wao kubuni njia rahisi ya kukuza uchumi kupitia fursa zilizopo katika maeneo yao badala ya kufanya uovu....
10 years ago
Habarileo25 Feb
Mwenyekiti Mtopa wa CCM awapa somo vijana
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Lindi Ali Mtopa amewataka vijana wa chama hicho kuwaambia wananchi ukweli kwamba serikali ya chama hicho imeweka mazingira mazuri ya miundombinu ambayo yamewezesha wananchi wa mji wa Lindi kupata huduma za maji na barabara.