Sumaye awaasa vijana
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye (pichani) amewataka vijana kutambua kuwa elimu ni zana muhimu hivyo wakiitumia vema itawaletea mabadiliko katika maisha yao.
Sumaye alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam katika mahafali ya nane ya chuo cha uongozi Azania.
Alisema vijana ambao wanapata nafasi mbalimbali za kusoma ni lazima wajue kuwa wamepata bahati ya pekee ya kutumikia nchi na jamii inayowategemea kwa ubora na ufanisi.
“Elimu ni ufunguo muhimu wa maisha, ukiutumia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Sumaye awaasa viongozi Afrika
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewaasa viongozi wa nchi za Afrika kutumia rasilimali walizonazo na fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi. Sumaye alitoa wito huo jana nchini Marekani, katika Chuo Kikuu cha Elizabeth...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Sumaye awaasa waliomo kwenye ndoa
ALIYEKUWA Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amewashauri waliomo kwenye ndoa kuvumiliana katika mambo mbalimbali ili kuepuka chuki inayoweza kusababisha mauaji. Sumaye alisema hayo juzi mjini...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I5pQz8g3ZrI/Vfj0gtbRFtI/AAAAAAAH5Ko/Yii0tNPFm5w/s72-c/Beatrice.jpg)
WAZIRI AWAASA VIJANA KUPAMBANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-I5pQz8g3ZrI/Vfj0gtbRFtI/AAAAAAAH5Ko/Yii0tNPFm5w/s640/Beatrice.jpg)
wakati wa uzinduzi iliyofanyika katika viwanja vya karume jijini Dar
es Saalam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-1cpylwOyvt0/Vfj0hXnwJsI/AAAAAAAH5Kw/_Qdi6NlwMmg/s640/GoH.jpg)
Elisante Ole Gabriel akiongea wakati wa uzinduzi wa michuano ya Airtel
Rising Stars katika ngazi ya taifa.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Obama awaasa vijana kuhusu Ubaguzi
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA AWAASA VIJANA KUACHA ‘KUDENDEKA’
10 years ago
Habarileo17 May
Sumaye awanoa vijana
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amewataka vijana nchini kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ili wapate fursa ya kuchagua viongozi wanaowataka, lakini pia wanaoamini watakuwa suluhisho ya kero nyingi walizonazo wananchi.
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Sumaye awapa ushauri vijana
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye amewataka vijana kutambua kuwa elimu ni zana muhimu hivyo wakiitumia vema itawaletea mabadiliko katika maisha yao. Sumaye alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Habarileo07 Dec
Sumaye aasa vijana kulinda amani
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewataka vijana kote nchini kuwa mstari wa mbele kulinda amani, usalama na utulivu wa nchi katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 na kukemea siasa za chuki kwani mfumo uliopo ni mfumo wa vyama vingi, hivyo kila mmoja anapaswa kumheshimu mwenzake.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Kabaka awaasa wanahabari