Sumaye awaasa viongozi Afrika
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewaasa viongozi wa nchi za Afrika kutumia rasilimali walizonazo na fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi. Sumaye alitoa wito huo jana nchini Marekani, katika Chuo Kikuu cha Elizabeth...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Apr
Sumaye: Viongozi Afrika acheni utegemezi
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka viongozi wa Afrika, kuacha tabia ya kutegemea nchi tajiri, kugharimia mipango ya maendeleo zao. Badala yake, ametaka viongozi wawe wabunifu wa kuandaa mipango ya kuondoka kwenye utegemezi uliokithiri.
10 years ago
Dewji Blog10 Nov
Sumaye awaasa vijana
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye (pichani) amewataka vijana kutambua kuwa elimu ni zana muhimu hivyo wakiitumia vema itawaletea mabadiliko katika maisha yao.
Sumaye alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam katika mahafali ya nane ya chuo cha uongozi Azania.
Alisema vijana ambao wanapata nafasi mbalimbali za kusoma ni lazima wajue kuwa wamepata bahati ya pekee ya kutumikia nchi na jamii inayowategemea kwa ubora na ufanisi.
“Elimu ni ufunguo muhimu wa maisha, ukiutumia...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Sumaye awaasa waliomo kwenye ndoa
ALIYEKUWA Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amewashauri waliomo kwenye ndoa kuvumiliana katika mambo mbalimbali ili kuepuka chuki inayoweza kusababisha mauaji. Sumaye alisema hayo juzi mjini...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s1600/w1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s72-c/w1.jpg)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s1600/w1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--99HsdIinyU/U-JSpsBc8zI/AAAAAAACm6c/WRZHxk6HhCQ/s1600/w2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DzOJdcH2t3Q/U-JSzBmSTzI/AAAAAAACm64/qIQOvCLbufI/s1600/w4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YPY62IRGZGM/U-JSwO_f7GI/AAAAAAACm6w/Zq2FHZgvBbQ/s1600/w5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jUW7OXuce9k/U-JS1Ohnr9I/AAAAAAACm7A/KnShrBQRpyA/s1600/w6.jpg)
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mama Salma awaasa wanawake viongozi
WANAWAKE wenye nafasi za uongozi na madaraka, wametakiwa kusaidia wanawake na wasichana wasio na nafasi hizo, watambue fursa muhimu zitakazowawezesha kimaendeleo.
10 years ago
GPL18 Sep
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Rais John Magufulia awaasa viongozi anaowateua kuridhika na nafasi anazowapatia
11 years ago
Habarileo04 Aug
Sumaye ataja sifa za viongozi wazuri
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amesema Watanzania wanatamani kupata viongozi wazuri na wanamwomba Mungu awasikilize na awasaidie katika hilo, huku akitaja baadhi ya sifa ambazo wangependa viongozi wao wawe nazo.