Rais John Magufulia awaasa viongozi anaowateua kuridhika na nafasi anazowapatia
Rais wa Tanzania John Magufuli amewaasa viongozi anaowateua kuridhika na nafasi wanazopatiwa akisema kuwa haiwezekani ukapata kila kitu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
WAKULIMA WILAYA YA IKUNGI WAMPONGEZA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI…!







10 years ago
GPL
JOHN POMBE MAGUFULIA ATIKISA KYELA, MBEYA
9 years ago
Michuzi24 Dec
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAWAZIRI KUJAZA NAFASI ZILIZOKUWA WAZI

10 years ago
MichuziViongozi wawasili nchini Kushuhudia Uapisho wa Rais Mteule Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Sumaye awaasa viongozi Afrika
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewaasa viongozi wa nchi za Afrika kutumia rasilimali walizonazo na fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi. Sumaye alitoa wito huo jana nchini Marekani, katika Chuo Kikuu cha Elizabeth...
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mama Salma awaasa wanawake viongozi
WANAWAKE wenye nafasi za uongozi na madaraka, wametakiwa kusaidia wanawake na wasichana wasio na nafasi hizo, watambue fursa muhimu zitakazowawezesha kimaendeleo.
11 years ago
GPL18 Sep
9 years ago
StarTV02 Jan
Rais Magufulia amtebelea Askofu pengo
Magufuli amemtembelea na kumjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es salaam Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo, aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es salaam.
Rais Magufuli aliyeongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli, amempa pole Askofu Pengo na kumuombea afya njema ili aweze kuendelea na shughuli zake za kutoa huduma za kiroho kwa wananchi.
Akielezea hali ya Askofu Pengo, Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo...
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Shiwata kuziba nafasi ya Kepteni John Komba
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) unatarajia kutaja majina ya wanachama wake watakaokabidhiwa nyumba 13 katika Kijiji cha Mwanzega, Mkuranga.
Mwenyekiti wa mtandao huo, Cassim Twaalib, alisema mkutano huo utafanyika katika ofisi zake zilizopo Ilala, Bungoni Dar es Salaam kuanzia saa nne asubuhi.
Twaalib aliongeza kwamba pia watatangazwa viongozi watakaoshika nafasi za uongozi zilizo wazi ambazo ni Makamu Mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na Marehemu Kepteni Komba, Katibu ambayo ilikuwa...