Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais John Magufulia awaasa viongozi anaowateua kuridhika na nafasi anazowapatia

Rais wa Tanzania John Magufuli amewaasa viongozi anaowateua kuridhika na nafasi wanazopatiwa akisema kuwa haiwezekani ukapata kila kitu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAKULIMA WILAYA YA IKUNGI WAMPONGEZA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI…!

 1Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo akizungumza kuhusu malipo ya wakulima wa Kata ya Iglanson kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani.2 Afisa Ushirika wa Wilaya ya Ikungi, Gurisha Nsemo akizungumza na Wakulima wa Kata ya Iglanson wakati wa malipo hayo.

vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748 Mkulima, Isack Shango,  akimshukuru Rais Magufuli kwa niaba ya wenzake.

vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710  Mkulima, Magreth Magamba, akizungumza. 


vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580 Wakulima wa Kata ya Iglanson wakisubiri kulipwa. 


vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228  Wakulima wa Kata ya Iglanson wakisubiri kulipwa. 


vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705 Meneja wa Benki ya NMB,...

 

10 years ago

GPL

JOHN POMBE MAGUFULIA ATIKISA KYELA, MBEYA

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufulia (kulia) akiongea na  Harrison George Mwakyembe (katikati) akiwa Kyela mkoani Mbeya leo. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufulia kihutubia wakazi wa Kyela, Mbeya na kuendelea kusisitiza elimu itakuwa bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne, kuongeza maslahi ya walimu pamoja na jeshi la… ...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAWAZIRI KUJAZA NAFASI ZILIZOKUWA WAZI

pombeRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.………………………………………………Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake.Uteuzi huo ni kama ifuatavyo;1. Profesa Jumanne Maghembe – Ameteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii.2. Dkt. Philip Mpango – Ameteuliwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

Viongozi wawasili nchini Kushuhudia Uapisho wa Rais Mteule Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe (katikati chini) akimsubiria Rais wa Zimbabwe Mhe. Robert Mugabe (katikati juu kwenye ngazi) alipokuwa akiteremka kwenye Ndege, Rais Mugabe amewasili nchini kwaajili ya kuhudhuria Sherehe za uapisho wa Rais Mteule Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli zitakazofanyika hapo kesho katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Waziri Membe akimpokea Rais Mugabe (mwenye Ua Mkononi) mara tu baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye awaasa viongozi Afrika

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewaasa viongozi wa nchi za Afrika kutumia rasilimali walizonazo na fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi. Sumaye alitoa wito huo jana nchini Marekani, katika Chuo Kikuu cha Elizabeth...

 

11 years ago

Habarileo

Mama Salma awaasa wanawake viongozi

WANAWAKE wenye nafasi za uongozi na madaraka, wametakiwa kusaidia wanawake na wasichana wasio na nafasi hizo, watambue fursa muhimu zitakazowawezesha kimaendeleo.

 

11 years ago

GPL

9 years ago

StarTV

Rais Magufulia amtebelea Askofu pengo

Magufuli amemtembelea na kumjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es salaam Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo, aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es salaam.

Rais Magufuli aliyeongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli, amempa pole Askofu Pengo na kumuombea afya njema ili aweze kuendelea na shughuli zake za kutoa huduma za kiroho kwa wananchi.

Akielezea hali ya Askofu Pengo, Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo...

 

9 years ago

Mtanzania

Shiwata kuziba nafasi ya Kepteni John Komba

kOMBAMTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) unatarajia kutaja majina ya wanachama wake watakaokabidhiwa nyumba 13 katika Kijiji cha Mwanzega, Mkuranga.

Mwenyekiti wa mtandao huo, Cassim Twaalib, alisema mkutano huo utafanyika katika ofisi zake zilizopo Ilala, Bungoni Dar es Salaam kuanzia saa nne asubuhi.

Twaalib aliongeza kwamba pia watatangazwa viongozi watakaoshika nafasi za uongozi zilizo wazi ambazo ni Makamu Mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na Marehemu Kepteni Komba, Katibu ambayo ilikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani