Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOHN POMBE MAGUFULIA ATIKISA KYELA, MBEYA

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufulia (kulia) akiongea na  Harrison George Mwakyembe (katikati) akiwa Kyela mkoani Mbeya leo. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufulia kihutubia wakazi wa Kyela, Mbeya na kuendelea kusisitiza elimu itakuwa bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne, kuongeza maslahi ya walimu pamoja na jeshi la… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. John Pombe Magufuli atikisa jimboni kwake, wananchi waibua shangwe kila kona ya mji

    Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa kuchaguliwa kwake katika nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chake kuwania nafasi ya Urais .   Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili jana jioni mjini...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT JOHN POMBE MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI

  Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo akitokea mkoani Mwanza ambako nako alipita kujitambulisha na kuwashukuru wakazi wa jiji hilo ambao nao walijitokeza kwa wingi. Kufuatia ujio wa Dkt Magufuli ndani ya mji wa Chato kuliibuka shamra shamra za mapokezi zilizokuwa zikirindima kila pande wakifurahia uteuzi wa CCM kwa Dkt Magufuli.   ...

 

10 years ago

Raia Mwema

5 years ago

CCM Blog

WAKULIMA WILAYA YA IKUNGI WAMPONGEZA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI…!

 1Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo akizungumza kuhusu malipo ya wakulima wa Kata ya Iglanson kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani.2 Afisa Ushirika wa Wilaya ya Ikungi, Gurisha Nsemo akizungumza na Wakulima wa Kata ya Iglanson wakati wa malipo hayo.

vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748 Mkulima, Isack Shango,  akimshukuru Rais Magufuli kwa niaba ya wenzake.

vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710  Mkulima, Magreth Magamba, akizungumza. 


vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580 Wakulima wa Kata ya Iglanson wakisubiri kulipwa. 


vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228  Wakulima wa Kata ya Iglanson wakisubiri kulipwa. 


vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705 Meneja wa Benki ya NMB,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais John Magufulia awaasa viongozi anaowateua kuridhika na nafasi anazowapatia

Rais wa Tanzania John Magufuli amewaasa viongozi anaowateua kuridhika na nafasi wanazopatiwa akisema kuwa haiwezekani ukapata kila kitu.

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AFUNIKA KYELA MKOANI MBEYA

  Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi wa Kyela Mkoani Mbeya katika Mkutano wa Kampeni uliofanyika jumatatu  tarehe 19/10/2015 
 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Freeman Mbowe, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa wananchi wa Kyela...

 

9 years ago

IPPmedia

Dar, Mbeya boxers for non-title bout in Kyela


IPPmedia
Dar, Mbeya boxers for non-title bout in Kyela
IPPmedia
Mbaya professional boxer, Maisha Samson, will be seeking to land an opportunity to participate in a high-profile bout when he takes on Dar es Salaam's Salum Nassor in an eight-round, non-title Middleweight bout at the former's venue in Kyela on ...
Firm avails three scholarships to needy studentsDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

10 years ago

Africanjam.Com

AND THIS IS DR. JOHN POMBE MAGUFULI CV

DR John Pombe Joseph Magufuli was born on October 29, 1959. He holds a PhD in Chemistry from University of Dar es Salaam.He has been a Member of Parliament (MP) for three terms, that is 2010 - 2015, 2005 - 2010 and 2000 - 2005 and has been a member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) since 1977.
He has held various ministerial positions and currently is serving as the Minister of Works, the position he took up since May 4, 2012 until October 30, 2015 Other ministries he has served are...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani