Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusiposikiliza ushauri, tutaandaa katiba mpya itakayovuruga amani

KUMEKUWEPO na hoja zinazotolewa na pande zote kuwa mchakato wa kuandika upya Katiba mpya usitishwe kwa muda ili kutafuta maridhiano na  kusahihisha baadhi ya kasoro za kisheria na kikanuni  zinazolalamikiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Viongozi wapewa ushauri wa Katiba mpya

SERIKALI mkoani Kagera imewashauri viongozi wa kidini na kisiasa kulitazama suala la Katiba mpya kwa maslahi ya nchi na si kwa maslahi ya mtu binafsi na vyama fulani ili kuepuka kuwapoteza wananchi ambao wameanza kukosa mwelekeo.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Bomani atoa ushauri kupata Katiba Mpya

>Jaji mstaafu Mark Bomani amelishauri Bunge Maalumu la Katiba kuweka kando suala la muundo wa serikali kwa kuwa ndiyo chanzo cha mgawanyiko mkubwa baina ya wajumbe.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba Mpya isituvurugie amani

Kwa bahati mbaya Watanzania tuna utamaduni wa kusahau na kutofuatilia mambo kwa kina, labda ni kwa sababu ya historia ya nchi yetu inayotujengea misingi ya umoja, udugu na kuaminiana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MASHAYO JOSEPH: Ushauri umenifanya niishi kwa amani

“MIMI na mke wangu tunaishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), lakini kutokana na ushauri tuliopata kutoka kwa wataalamu wa afya tumefanikiwa kupata mtoto asiye na maambukizi.” Hayo ni maneno ya...

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa jukwaa la katiba juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo.
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.…
...

 

11 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA


Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu KKAM alipa ushauri Bunge la Katiba

>Askofu Mkuu Mpya wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM), Jesse Angowi amesema njia pekee ya kuimarisha amani ni kwa Bunge la Katiba kuheshimu matakwa ya Watanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya

>Bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30 mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ushauri wa #Kikwete kwa wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]

Rais Jakaya Kikwete amewataka wajumbe kufanya kazi ilowapeleka Dodoma, kwa kuhakiki na kuichambua kwa kina Rasimu ya Pili iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mnamo Jumanne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani