Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu KKAM alipa ushauri Bunge la Katiba

>Askofu Mkuu Mpya wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM), Jesse Angowi amesema njia pekee ya kuimarisha amani ni kwa Bunge la Katiba kuheshimu matakwa ya Watanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ushauri wa #Kikwete kwa wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]

Rais Jakaya Kikwete amewataka wajumbe kufanya kazi ilowapeleka Dodoma, kwa kuhakiki na kuichambua kwa kina Rasimu ya Pili iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mnamo Jumanne.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu awafunda wajumbe Bunge la Katiba

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kujikita zaidi katika mijadala yenye manufaa kwa jamii badala ya kutetea na kulinda masilahi ya vyama vyao. Kauli hiyo ilitolewa jana na Askofu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Askofu asikitishwa kuendelea bunge la katiba

ASKOFU wa kanisa katoliki jimbo la Lindi, Bruno Ngonyani amesikitika kuhusu kuendelea kwa vikao vya Bunge maalumu la katiba mjini Dodoma. Pia ameshangazwa na uamuzi wa wajumbe wa bunge hilo...

 

11 years ago

Mwananchi

Vita ya Mchungaji na Askofu ndani ya Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Peter Msigwa amemvaa Askofu Donald Mtetemela na kumtaka avae rasmi magwanda ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

11 years ago

Mwananchi

Vita ya Mchungaji na Askofu ndani ya Bunge Maalumu la Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Peter Msigwa amemvaa Askofu Donald Mtetemela na kumtaka avae rasmi magwanda ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

11 years ago

Habarileo

Askofu ataka ushauri wa Rais uheshimiwe

Askofu mstaafu wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Dodoma, Mhashamu Mathias IsujaWATANZANIA wameshauriwa kuendelea kuheshimu hadhi na mamlaka aliyonayo Rais wa Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania, Jakaya Kikwete, kwa kuthamini na kuzingatia mwongozo na ushauri mbalimbali anaoutoa kwa wananchi, kwani mamlaka hayo yanatoka kwa Mungu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani