Askofu asikitishwa kuendelea bunge la katiba
ASKOFU wa kanisa katoliki jimbo la Lindi, Bruno Ngonyani amesikitika kuhusu kuendelea kwa vikao vya Bunge maalumu la katiba mjini Dodoma. Pia ameshangazwa na uamuzi wa wajumbe wa bunge hilo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Feb
Bunge la Katiba kuendelea Jumatatu
BUNGE Maalumu la Katiba limeahirishwa hadi Jumatatu ili kutoa fursa kwa wajumbe wake kusoma Rasimu ya Kanuni kabla ya kuijadili kuanzia siku hiyo. Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho aliahirisha Bunge hilo jana mchana baada ya kuwasilishwa kwa Rasimu hiyo bungeni.
11 years ago
Dewji Blog26 Jul
Bunge Maalum la Katiba kuendelea — SITTA
Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis akizungumza na waandishi wa habari jana (hawapo pichani) kuhusu kuendelea kwa Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ndogo za Bunge jijini Dares Salaam.
10 years ago
Habarileo08 Sep
Bunge la Katiba kuendelea tena leo
BUNGE Maalumu la Katiba leo linaendelea tena mjini hapa huku kamati zote 12 zinatarajia kuwasilisha taarifa zake za sehemu za ibara ya rasimu ya katiba. Bunge hilo linafanya vikao vyake bila wajumbe kutoka kundi la katiba ya wananchi (Ukawa), ambalo leo viongozi wake kupitia Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wanakutana tena na Rais Jakaya Kikwete kuokoa mchakato wa katiba.
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Askofu awafunda wajumbe Bunge la Katiba
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kujikita zaidi katika mijadala yenye manufaa kwa jamii badala ya kutetea na kulinda masilahi ya vyama vyao. Kauli hiyo ilitolewa jana na Askofu...
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Filikunjombe: CCM imekosea kuendelea na Bunge la Katiba
![Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Deo-Filikunjombe.jpg)
Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe
NA WAANDISHI WETU
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amesema kitendo cha wabunge wa CCM kuendelea na mkutano wa Bunge Maalum la Katiba ni matumizi mabaya ya wingi wao ndani ya Bunge hilo.
Pamoja na hayo, amesema haungi mkono hatua iliyofikiwa ya kitendo cha wajumbe wenzake wa CCM kuendelea na mchakato wa Katiba mpya kwa sababu swala la Katiba halina mshindi.
Alisema kitendo kilichofanywa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kususia vikao vya Bunge...
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Vita ya Mchungaji na Askofu ndani ya Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Askofu KKAM alipa ushauri Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Vita ya Mchungaji na Askofu ndani ya Bunge Maalumu la Katiba
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Polisi yazima maandamano ya Chadema Dodoma, ni ya kupinga kuendelea Bunge la Katiba