Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge la Katiba kuendelea tena leo

BUNGE Maalumu la Katiba leo linaendelea tena mjini hapa huku kamati zote 12 zinatarajia kuwasilisha taarifa zake za sehemu za ibara ya rasimu ya katiba. Bunge hilo linafanya vikao vyake bila wajumbe kutoka kundi la katiba ya wananchi (Ukawa), ambalo leo viongozi wake kupitia Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wanakutana tena na Rais Jakaya Kikwete kuokoa mchakato wa katiba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BUNGE MAALUM LA KATIBA LAANZA TENA LEO MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Samuel Sita akitoa maelezo kabla ya kuanga kwa Bunge hilo katika awamu ya pili nay a mwisho ya 60 zilizobakia katika majadala wa Rasimu ya Katiba Mpya ya Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mjini Dodoma. Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakianza rasmi Nngwe ya Pili ya Majadala wa Rasimu ya Katiba utakaochukuwa siku sitini kamili Mjini Dodoma. Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakiingia ndani ya...

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba kuendelea Jumatatu

BUNGE Maalumu la Katiba limeahirishwa hadi Jumatatu ili kutoa fursa kwa wajumbe wake kusoma Rasimu ya Kanuni kabla ya kuijadili kuanzia siku hiyo. Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho aliahirisha Bunge hilo jana mchana baada ya kuwasilishwa kwa Rasimu hiyo bungeni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Askofu asikitishwa kuendelea bunge la katiba

ASKOFU wa kanisa katoliki jimbo la Lindi, Bruno Ngonyani amesikitika kuhusu kuendelea kwa vikao vya Bunge maalumu la katiba mjini Dodoma. Pia ameshangazwa na uamuzi wa wajumbe wa bunge hilo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Bunge Maalum la Katiba kuendelea — SITTA

2 (1)

Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis  akizungumza na waandishi wa habari  jana (hawapo pichani) kuhusu  kuendelea kwa  Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya Mwenyekiti  wa Bunge hilo, Samuel Sitta   katika ukumbi wa mikutano  wa ofisi ndogo za Bunge  jijini  Dares Salaam.

3

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza  Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis akizungumza na waandishi wa habari jana  (hawapo pichani) kuhusu  kuendelea kwa  Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya...

 

10 years ago

StarTV

Ligi ya Mabingwa Ulaya kuendelea tena leo.

Katika michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya leo kuna kivumbi kingine ambapo CSKA Moscow itakuwa na kibarua kigumu pale watakapowakaribisha Bayern Munich.

 
Wakati huo huo Man City waliopigwa bao moja na Bayern Munich watakutana na AC Roma iliyowapiga CSKA Moscow mabao matano katika mechi iliyopita.

 
Paris St G ya Ufaransa wao wanakutana uso kwa uso na Barcelona

 
Ukumbumbuke katika mechi ya wikendi iliyopita Paris St G walitoka sare na Ajax bao moja kwa moja.

 
Ajax inakutana leo na Apoel...

 

11 years ago

Mtanzania

Filikunjombe: CCM imekosea kuendelea na Bunge la Katiba

Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe

Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe

NA WAANDISHI WETU

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amesema kitendo cha wabunge wa CCM kuendelea na mkutano wa Bunge Maalum la Katiba ni matumizi mabaya ya wingi wao ndani ya Bunge hilo.

Pamoja na hayo, amesema haungi mkono hatua iliyofikiwa ya kitendo cha wajumbe wenzake wa CCM kuendelea na mchakato wa Katiba mpya kwa sababu swala la Katiba halina mshindi.

Alisema kitendo kilichofanywa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kususia vikao vya Bunge...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yazima maandamano ya Chadema Dodoma, ni ya kupinga kuendelea Bunge la Katiba

Jeshi la polisi mkoani Dodoma leo limezima maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupinga kuendelea kwa vikao vya Bunge la Katiba kwa kile wanachodai ni kufuja fedha za umma.

 

11 years ago

Habarileo

Mkutano wa Bunge kuendelea leo

MKUTANO wa 15 wa Bunge la Bajeti, unaingia wiki ya pili ya vikao vyake, ambavyo wizara zinawasilisha bajeti zake huku leo Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira zikiwasilisha bajeti zake.

 

10 years ago

Habarileo

Bunge kuendelea kukutana leo

MKUTANO wa 16 na 17 wa Bunge, unaendelea leo ambao pamoja na mambo mengine, Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu fedha za akaunti ya Escrow, zinatarajiwa kukabidhiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani