Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filikunjombe: CCM imekosea kuendelea na Bunge la Katiba

Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe

Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe

NA WAANDISHI WETU

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amesema kitendo cha wabunge wa CCM kuendelea na mkutano wa Bunge Maalum la Katiba ni matumizi mabaya ya wingi wao ndani ya Bunge hilo.

Pamoja na hayo, amesema haungi mkono hatua iliyofikiwa ya kitendo cha wajumbe wenzake wa CCM kuendelea na mchakato wa Katiba mpya kwa sababu swala la Katiba halina mshindi.

Alisema kitendo kilichofanywa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kususia vikao vya Bunge...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CCM yapigilia msumari hatima ya #Katiba, yabariki Bunge kuendelea bila #Ukawa [VIDEO]

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC-CCM),imepigilia msumari wa mwisho kuhusu sintofahamu ya vikao vya Bunge Maalum la Katiba baada ya kukubaliana na mwenendo mzima wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba kuendelea Jumatatu

BUNGE Maalumu la Katiba limeahirishwa hadi Jumatatu ili kutoa fursa kwa wajumbe wake kusoma Rasimu ya Kanuni kabla ya kuijadili kuanzia siku hiyo. Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho aliahirisha Bunge hilo jana mchana baada ya kuwasilishwa kwa Rasimu hiyo bungeni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Askofu asikitishwa kuendelea bunge la katiba

ASKOFU wa kanisa katoliki jimbo la Lindi, Bruno Ngonyani amesikitika kuhusu kuendelea kwa vikao vya Bunge maalumu la katiba mjini Dodoma. Pia ameshangazwa na uamuzi wa wajumbe wa bunge hilo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Bunge Maalum la Katiba kuendelea — SITTA

2 (1)

Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis  akizungumza na waandishi wa habari  jana (hawapo pichani) kuhusu  kuendelea kwa  Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya Mwenyekiti  wa Bunge hilo, Samuel Sitta   katika ukumbi wa mikutano  wa ofisi ndogo za Bunge  jijini  Dares Salaam.

3

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza  Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis akizungumza na waandishi wa habari jana  (hawapo pichani) kuhusu  kuendelea kwa  Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya...

 

10 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba kuendelea tena leo

BUNGE Maalumu la Katiba leo linaendelea tena mjini hapa huku kamati zote 12 zinatarajia kuwasilisha taarifa zake za sehemu za ibara ya rasimu ya katiba. Bunge hilo linafanya vikao vyake bila wajumbe kutoka kundi la katiba ya wananchi (Ukawa), ambalo leo viongozi wake kupitia Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wanakutana tena na Rais Jakaya Kikwete kuokoa mchakato wa katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yazima maandamano ya Chadema Dodoma, ni ya kupinga kuendelea Bunge la Katiba

Jeshi la polisi mkoani Dodoma leo limezima maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupinga kuendelea kwa vikao vya Bunge la Katiba kwa kile wanachodai ni kufuja fedha za umma.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yaliteka Bunge la Katiba

Sasa ni wazi kwamba serikali mbili zimeonyeshwa taa za kijani baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukamata uongozi wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapongeza Bunge la Katiba

Halmashauri Kuu ya CCM (Nec), imelipongeza Bunge Maalumu la Katiba kwa kile ilichoeleza ni kazi nzuri waliyoifanya na kuwezesha kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani