Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yapongeza Bunge la Katiba

Halmashauri Kuu ya CCM (Nec), imelipongeza Bunge Maalumu la Katiba kwa kile ilichoeleza ni kazi nzuri waliyoifanya na kuwezesha kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

CCM yaliteka Bunge la Katiba

Sasa ni wazi kwamba serikali mbili zimeonyeshwa taa za kijani baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukamata uongozi wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yaanguka Bunge la Katiba

MSIMAMO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutaka kura za maamuzi katika Bunge la Katiba ziwe za siri jana zilipata pigo kubwa baada ya baadhi ya makada wake kuukataa. Juzi wabunge...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM walichoka Bunge la Katiba

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kukutana tena na viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), leo kutafuta maridhiano ya mchakato wa katiba mpya, baadhi ya wajumbe...

 

10 years ago

Dewji Blog

APPT Maendeleo yapongeza Katiba inayopendekezwa

RASIMU COVER - DESEMBA 2013 001

Na Mwandishi wetu

CHAMA cha APPT Maendeleo kimepongeza kupitishwa kwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa katika hatua ya Bunge Maalum la Katiba na kuahidi kupigania suala la mbunge kuwajibishwa na wananchi liingizwe katika katiba anaposhindwa kutekeleza majukumu yake badala ya kusubiri miaka mitano.

Katibu Mwenezi wa Taifa wa chama hicho, Godfrey Davis,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, alisema APPT Maendeleo kimechukua hatua ya kupongeza Rasimu hiyo kwasababu mambo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yachangia vurugu Bunge la Katiba

KITENDO cha Serikali kupeleka muswada wa Sheria ya kulibadilisha bunge la kutunga sheria na kuisimamia Serikali kuwa ‘Bunge Maalumu la Katiba’ la Chama Cha Mapinduzi wakiongozwa na Rais ambaye pia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM NA BUNGE LA KATIBA: Falsafa ya Interahamwe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) hakikutaka, hakitaki na hakitotaka mabadiliko! Ndiyo maana kilipinga kuandikwa kwa katiba mpya! Huu ni ukweli wa kihistoria na usiopingika. CCM imekuwa ikizuia kwa nguvu zote mabadiliko...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM waache ujuha Bunge la Katiba

NIMEPOKEA kwa masikitiko makubwa na kujikuta nalitazama taifa hili kama shamba lisilokuwa na mmiliki wake. Ninapata shida sana ninapoona na kusikia viongozi wakubwa wa taifa hili wakidiriki kutoa kauli za...

 

11 years ago

Mtanzania

Filikunjombe: CCM imekosea kuendelea na Bunge la Katiba

Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe

Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe

NA WAANDISHI WETU

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amesema kitendo cha wabunge wa CCM kuendelea na mkutano wa Bunge Maalum la Katiba ni matumizi mabaya ya wingi wao ndani ya Bunge hilo.

Pamoja na hayo, amesema haungi mkono hatua iliyofikiwa ya kitendo cha wajumbe wenzake wa CCM kuendelea na mchakato wa Katiba mpya kwa sababu swala la Katiba halina mshindi.

Alisema kitendo kilichofanywa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kususia vikao vya Bunge...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM NA BUNGE LA KATIBA: Hoja nyepesi za kukariri

NI ukweli usio na shaka kwamba wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Bunge la Katiba ni wengi kuliko wajumbe kutoka makundi mengine. Kwa maana hiyo, CCM imelihodhi Bunge na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani