CCM yapongeza Bunge la Katiba
Halmashauri Kuu ya CCM (Nec), imelipongeza Bunge Maalumu la Katiba kwa kile ilichoeleza ni kazi nzuri waliyoifanya na kuwezesha kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Mar
CCM yaliteka Bunge la Katiba
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
CCM yaanguka Bunge la Katiba
MSIMAMO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutaka kura za maamuzi katika Bunge la Katiba ziwe za siri jana zilipata pigo kubwa baada ya baadhi ya makada wake kuukataa. Juzi wabunge...
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
CCM walichoka Bunge la Katiba
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kukutana tena na viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), leo kutafuta maridhiano ya mchakato wa katiba mpya, baadhi ya wajumbe...
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
APPT Maendeleo yapongeza Katiba inayopendekezwa
Na Mwandishi wetu
CHAMA cha APPT Maendeleo kimepongeza kupitishwa kwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa katika hatua ya Bunge Maalum la Katiba na kuahidi kupigania suala la mbunge kuwajibishwa na wananchi liingizwe katika katiba anaposhindwa kutekeleza majukumu yake badala ya kusubiri miaka mitano.
Katibu Mwenezi wa Taifa wa chama hicho, Godfrey Davis,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, alisema APPT Maendeleo kimechukua hatua ya kupongeza Rasimu hiyo kwasababu mambo...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
CCM yachangia vurugu Bunge la Katiba
KITENDO cha Serikali kupeleka muswada wa Sheria ya kulibadilisha bunge la kutunga sheria na kuisimamia Serikali kuwa ‘Bunge Maalumu la Katiba’ la Chama Cha Mapinduzi wakiongozwa na Rais ambaye pia...
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
CCM NA BUNGE LA KATIBA: Falsafa ya Interahamwe
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) hakikutaka, hakitaki na hakitotaka mabadiliko! Ndiyo maana kilipinga kuandikwa kwa katiba mpya! Huu ni ukweli wa kihistoria na usiopingika. CCM imekuwa ikizuia kwa nguvu zote mabadiliko...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
CCM waache ujuha Bunge la Katiba
NIMEPOKEA kwa masikitiko makubwa na kujikuta nalitazama taifa hili kama shamba lisilokuwa na mmiliki wake. Ninapata shida sana ninapoona na kusikia viongozi wakubwa wa taifa hili wakidiriki kutoa kauli za...
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Filikunjombe: CCM imekosea kuendelea na Bunge la Katiba
![Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Deo-Filikunjombe.jpg)
Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe
NA WAANDISHI WETU
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amesema kitendo cha wabunge wa CCM kuendelea na mkutano wa Bunge Maalum la Katiba ni matumizi mabaya ya wingi wao ndani ya Bunge hilo.
Pamoja na hayo, amesema haungi mkono hatua iliyofikiwa ya kitendo cha wajumbe wenzake wa CCM kuendelea na mchakato wa Katiba mpya kwa sababu swala la Katiba halina mshindi.
Alisema kitendo kilichofanywa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kususia vikao vya Bunge...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
CCM NA BUNGE LA KATIBA: Hoja nyepesi za kukariri
NI ukweli usio na shaka kwamba wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Bunge la Katiba ni wengi kuliko wajumbe kutoka makundi mengine. Kwa maana hiyo, CCM imelihodhi Bunge na...