Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge kuendelea kukutana leo

MKUTANO wa 16 na 17 wa Bunge, unaendelea leo ambao pamoja na mambo mengine, Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu fedha za akaunti ya Escrow, zinatarajiwa kukabidhiwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bunge kuanza kukutana leo

MIKUTANO wa 16 na 17 ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaanza mjini Dodoma leo hadi Novemba 4 hadi 28 mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

Mkutano wa Bunge kuendelea leo

MKUTANO wa 15 wa Bunge la Bajeti, unaingia wiki ya pili ya vikao vyake, ambavyo wizara zinawasilisha bajeti zake huku leo Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira zikiwasilisha bajeti zake.

 

10 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba kuendelea tena leo

BUNGE Maalumu la Katiba leo linaendelea tena mjini hapa huku kamati zote 12 zinatarajia kuwasilisha taarifa zake za sehemu za ibara ya rasimu ya katiba. Bunge hilo linafanya vikao vyake bila wajumbe kutoka kundi la katiba ya wananchi (Ukawa), ambalo leo viongozi wake kupitia Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wanakutana tena na Rais Jakaya Kikwete kuokoa mchakato wa katiba.

 

10 years ago

GPL

BUNGE KUENDELEA LEO SAA TANO ASUBUHI

Ni baada ya kikao cha jana usiku kuvunjika kwa wajumbe kutoridhika na maazimio ya wenzao, Spika aahirisha shughuli za bunge mpaka saa 5 asubuhi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati za Bunge Maalum la Katiba zaendelea kukutana mjini Dodoma

DSC04200

Mwenyekiti wa Kamati Namba Tano ya Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Hamad Rashid (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani kuhusu mambo yaliyojiri katika Kamati yake leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Hazina mjini Dodoma.Kulia ni Makamu wake Mhe. Assumpter Mshama.

IMG_9260

Mwenyekiti wa Kamati  Namba 12 ya Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Paul Kimiti (katikati) akijadiliana jambo  na baadhi ya wajumbe wa Kamati yake yake leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Hazina mjini Dodoma.

DSC04171

 Baadhi ya...

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba kuendelea Jumatatu

BUNGE Maalumu la Katiba limeahirishwa hadi Jumatatu ili kutoa fursa kwa wajumbe wake kusoma Rasimu ya Kanuni kabla ya kuijadili kuanzia siku hiyo. Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho aliahirisha Bunge hilo jana mchana baada ya kuwasilishwa kwa Rasimu hiyo bungeni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Askofu asikitishwa kuendelea bunge la katiba

ASKOFU wa kanisa katoliki jimbo la Lindi, Bruno Ngonyani amesikitika kuhusu kuendelea kwa vikao vya Bunge maalumu la katiba mjini Dodoma. Pia ameshangazwa na uamuzi wa wajumbe wa bunge hilo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Bunge Maalum la Katiba kuendelea — SITTA

2 (1)

Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis  akizungumza na waandishi wa habari  jana (hawapo pichani) kuhusu  kuendelea kwa  Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya Mwenyekiti  wa Bunge hilo, Samuel Sitta   katika ukumbi wa mikutano  wa ofisi ndogo za Bunge  jijini  Dares Salaam.

3

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza  Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis akizungumza na waandishi wa habari jana  (hawapo pichani) kuhusu  kuendelea kwa  Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani