JK AAGIZA KIDATO CHA 5,6 KILA KATA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi mwanafunzi Agatha Julius Ninga kutoka Shule ya sekondari ya wasichana ya Tabora akiwa ni miongoni mwa wanafunzi sita waliofaulu vizuri katika mitihani ya sayansi ya kidato cha nne mwaka jana 2014. RAIS Jakaya Kikwete ameagiza Wakuu wa Mikoa na Maofisa Elimu wote nchini, kuanza ujenzi wa shule maalumu za kidato cha tano na sita kwa kila kata na wakishindwa, katika shule za sekondari za...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Jan
Aagiza kidato cha 1 kupokewa hata wasipokuwa na sare, ada
OFISA Elimu mkoa wa Dodoma, Juma Kaponda amewaagiza wakuu wa shule katika wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, kuwapokea watoto waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza ambao wamekosa ada na sare za shule ili waendelee na masomo.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p1am9lEC2hQ/U74_ydaPZqI/AAAAAAAF0Yg/k9E9o0_2wOc/s72-c/unnamed+(70).jpg)
JK afungua ukumbi wa mihadhara CHUO cha SEKOMU, aagiza wilaya zote nchini zijenge maabara katika kila shule
![](http://4.bp.blogspot.com/-p1am9lEC2hQ/U74_ydaPZqI/AAAAAAAF0Yg/k9E9o0_2wOc/s1600/unnamed+(70).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JnvaSd_RIVY/U74_ybQ9weI/AAAAAAAF0Yo/mvDNvWmORHA/s1600/unnamed+(71).jpg)
10 years ago
Michuzi10 Nov
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AHMED .Z. MSANGI-SACP ANAWATANGAZIA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA
10 years ago
Habarileo01 Mar
RC aagiza viongozi kata kusambaza Katiba mpya
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amewaagiza viongozi wote wa ngazi za kata, vitongoji na mitaa, kuhakikisha nakala za Katiba Inayopendekezwa, zinawafikia walengwa na kusimamia ipasavyo ugawaji wa nakala hizo.
11 years ago
Habarileo23 Jul
Rais aagiza ripoti za mahudhurio ya shule kila mwezi
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza wakuu wa shule zote nchini kila mwezi watoe taarifa za mahudhurio ya wanafunzi kwa maofisa Elimu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SIJ6trQmj_4/XqB7-DHj3wI/AAAAAAALn3g/tDRpRXqkA8QlKDXqcLqISaAVu-J5H2foACLcBGAsYHQ/s72-c/C.jpg)
DC aagiza kila mwananchi kupambana na Corona kwa hiari
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza kila mwananchi kuhakikisha anapambana na virusi vya Corona (COVID-19) kwa hiari ili taifa liweze kubaki salama.
Msafiri ametoa agizo hilo mapema alfajiri ya leo April 22 2020 wakati akiongoza zoezi la utakasaji mabasi yanayoelekea mikoa mingine kutokea kituo cha mabasi Njombe mjini kwa Croline,zoezi ambalo limeratibiwa na halmashauri ya mji wa Njombe.
“Kila mwananchi ajione ni mdau katika zoezi la kupambana na virusi...
10 years ago
PMORALG01 Jul
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Mghwira kujenga vyuo kila kata
9 years ago
Habarileo29 Dec
Wazazi CCM wagawa ardhi kwa kila kata
JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, imezigawia Jumuiya zake za kata ardhi yenye ukubwa wa hekari moja kwa lengo la kuziendeleza kiuchumi.