Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mghwira kujenga vyuo kila kata

Mgombea urais wa ACT Wazalendo, Anna Mghwira ameahidi kujenga vyuo vya ufundi kila kata nchini ili kuhakikisha vijana wanapata ajira na kujiajiri na kujiongezea kipato kitakachowasaidia kujikimu kimaisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Vyuo vikuu vyabeba sekondari za kata

MAFANIKIO katika sekta ya elimu ya msingi na sekondari, yaliyosababisha ongezeko kubwa la wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita wakiwemo kutoka shule za kata, yameilazimu Serikali kuandaa vyuo vikuu nchini kupokea idadi kubwa ya wanafunzi kutoka shule za sekondari.

 

9 years ago

Habarileo

Serikali kujenga vyuo vikuu kwenye kanda

RAIS Jakaya Kikwete amesema ilikuwa lazima kuchukua hatua za haraka za kimapinduzi za kujenga shule za sekondari za kata nchini mwanzoni tu mwa uongozi wake kwa sababu kiwango cha watoto, waliokuwa wanamaliza darasa la saba kuingia sekondari, kilikuwa kimeshuka mno na kufikia asilimia sita tu kwa sababu ya ukosefu wa nafasi katika sekondari.

 

10 years ago

GPL

JK AAGIZA KIDATO CHA 5,6 KILA KATA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi mwanafunzi Agatha Julius Ninga kutoka Shule ya sekondari ya wasichana ya Tabora akiwa ni miongoni mwa wanafunzi sita waliofaulu vizuri katika mitihani ya sayansi ya kidato cha nne mwaka jana 2014. RAIS Jakaya Kikwete ameagiza Wakuu wa Mikoa na Maofisa Elimu wote nchini, kuanza ujenzi wa shule maalumu za kidato cha tano na sita kwa kila kata na wakishindwa, katika shule za sekondari za...

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi wa vyuo vya VETA kila Wilaya umeyeyuka?

 Unapoangalia idadi ya wanafunzi wanaotoka elimu ya msingi kwenda madaraja ya juu, hukosi kugundua kuwapo kwa tofauti kubwa ya kiidadi.

 

9 years ago

StarTV

Samia ahidi kujenga hosptali kila wilaya

Chama cha MapinduziCCM kimesema iwapo wananchii watakichagua kuongoza katika kipindi cha awamu ya tano kitahakikisha Huduma za afya inimarishwa kikamilifu kwa kujenga hospital Kila wilaya,zahanati kila Kijiji pamoja na Kituo cha Afya kwa kila Kata.

Hayo yamesemwa na mgombea mwenza wa chama hicho Samia Suluhu Hassan wakati akimaliza ziara ya kampeni katika mkoa wa tanga ambapo amehitimisha na kuomba wananchii kukichagua chama hicho katika uchaguzi ujao.

Samia Suluhu amekuwa akisimamishwa...

 

9 years ago

Habarileo

Wazazi CCM wagawa ardhi kwa kila kata

JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, imezigawia Jumuiya zake za kata ardhi yenye ukubwa wa hekari moja kwa lengo la kuziendeleza kiuchumi.

 

11 years ago

Michuzi

VYUO mbalimbali nchini Vyashauriwa kujenga mahusiano ya kirafiki ili kubadilishana uzoefu katika kufanya kazi zao.

  Mtembeza wageni wa Kanisa la Mkunazini akiwafahamisha kitu wanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Utalii kutoka Dar es salam walipokuwa wakitembelea Kanisa hilo.  Wanafunzi wakipata maelezo kwa Mtembeza wageni juu sehemu walipokuwa wakihifadhiwa watumwa Kanisani hapo.  Wanafunzi wakitoka nje kwa furaha mara baada ya kutembelea Kanisa la Mkunazini liliopo Mjini Unguja.   Hapa wanafunzi wakijichagulia katika moja ya maduka ya vinyago na nguo za Kiswahili yaliopo Ngome kongwe Mjini Unguja. 

 

10 years ago

Michuzi

KILA MTU ANATAKIWA KUJENGA UADILIFU WA KUTOPOKEA RUSHWA - BALOZI SEFUE

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kujenga uadilifu kwa kila mtu katika nchi yake, ni kukataa rushwa kwa kutoa au kupokea.
Sefue aliyasema hayo katika Warsha ya Wadau ya kujadili Rasimu ya Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi,Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi iliyoandaliwa na Tume ya Maadili iliyofanyika  leo katika ukumbi wa Hoteli ya New Afrika jijini Dar es Salaam,alisema wazo la ahadi ya Uadilifu kwa viongozi,watumishi wa Umma na sekta binafsi ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatakiwa kutimiza ahadi za ujenzi wa zahanati kwa kila kata

DSC_0534

Diwani wa kata ya Ololosokwani na Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ikayo Ndoinyo akiangalia kitanda cha kujifungulia wakimama kwenye Zahanati ya Sero ambayo kwa siku inatibu wagonjwa 50 na zaidi ikiwa na daktari mmoja huku wakazi wanaofuata huduma hiyo kutoka kata hiyo na ya jirani Soitosambu kutembea umbali mrefu kwa Kilometa 7-15 kupata huduma ya afya.(Picha Zainul Mzige wa MOblog)

Na Mwandishi wetu, Ngorongoro

Wakazi wa vijiji vya Ololosokwan, Soit-Sambu, Njoroi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani