Mghwira kujenga vyuo kila kata
Mgombea urais wa ACT Wazalendo, Anna Mghwira ameahidi kujenga vyuo vya ufundi kila kata nchini ili kuhakikisha vijana wanapata ajira na kujiajiri na kujiongezea kipato kitakachowasaidia kujikimu kimaisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Nov
Vyuo vikuu vyabeba sekondari za kata
MAFANIKIO katika sekta ya elimu ya msingi na sekondari, yaliyosababisha ongezeko kubwa la wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita wakiwemo kutoka shule za kata, yameilazimu Serikali kuandaa vyuo vikuu nchini kupokea idadi kubwa ya wanafunzi kutoka shule za sekondari.
9 years ago
Habarileo24 Aug
Serikali kujenga vyuo vikuu kwenye kanda
RAIS Jakaya Kikwete amesema ilikuwa lazima kuchukua hatua za haraka za kimapinduzi za kujenga shule za sekondari za kata nchini mwanzoni tu mwa uongozi wake kwa sababu kiwango cha watoto, waliokuwa wanamaliza darasa la saba kuingia sekondari, kilikuwa kimeshuka mno na kufikia asilimia sita tu kwa sababu ya ukosefu wa nafasi katika sekondari.
10 years ago
GPLJK AAGIZA KIDATO CHA 5,6 KILA KATA
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Ujenzi wa vyuo vya VETA kila Wilaya umeyeyuka?
9 years ago
StarTV25 Sep
Samia ahidi kujenga hosptali kila wilaya
Chama cha MapinduziCCM kimesema iwapo wananchii watakichagua kuongoza katika kipindi cha awamu ya tano kitahakikisha Huduma za afya inimarishwa kikamilifu kwa kujenga hospital Kila wilaya,zahanati kila Kijiji pamoja na Kituo cha Afya kwa kila Kata.
Hayo yamesemwa na mgombea mwenza wa chama hicho Samia Suluhu Hassan wakati akimaliza ziara ya kampeni katika mkoa wa tanga ambapo amehitimisha na kuomba wananchii kukichagua chama hicho katika uchaguzi ujao.
Samia Suluhu amekuwa akisimamishwa...
9 years ago
Habarileo29 Dec
Wazazi CCM wagawa ardhi kwa kila kata
JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, imezigawia Jumuiya zake za kata ardhi yenye ukubwa wa hekari moja kwa lengo la kuziendeleza kiuchumi.
11 years ago
MichuziVYUO mbalimbali nchini Vyashauriwa kujenga mahusiano ya kirafiki ili kubadilishana uzoefu katika kufanya kazi zao.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pAdZrqZuEsg/VPcZA6G2VJI/AAAAAAAHHrM/X5yTvQ66wUY/s72-c/DSC_0983.jpg)
KILA MTU ANATAKIWA KUJENGA UADILIFU WA KUTOPOKEA RUSHWA - BALOZI SEFUE
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kujenga uadilifu kwa kila mtu katika nchi yake, ni kukataa rushwa kwa kutoa au kupokea.
Sefue aliyasema hayo katika Warsha ya Wadau ya kujadili Rasimu ya Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi,Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi iliyoandaliwa na Tume ya Maadili iliyofanyika leo katika ukumbi wa Hoteli ya New Afrika jijini Dar es Salaam,alisema wazo la ahadi ya Uadilifu kwa viongozi,watumishi wa Umma na sekta binafsi ni...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Serikali yatakiwa kutimiza ahadi za ujenzi wa zahanati kwa kila kata
Diwani wa kata ya Ololosokwani na Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ikayo Ndoinyo akiangalia kitanda cha kujifungulia wakimama kwenye Zahanati ya Sero ambayo kwa siku inatibu wagonjwa 50 na zaidi ikiwa na daktari mmoja huku wakazi wanaofuata huduma hiyo kutoka kata hiyo na ya jirani Soitosambu kutembea umbali mrefu kwa Kilometa 7-15 kupata huduma ya afya.(Picha Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro
Wakazi wa vijiji vya Ololosokwan, Soit-Sambu, Njoroi na...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10