Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samia ahidi kujenga hosptali kila wilaya

Chama cha MapinduziCCM kimesema iwapo wananchii watakichagua kuongoza katika kipindi cha awamu ya tano kitahakikisha Huduma za afya inimarishwa kikamilifu kwa kujenga hospital Kila wilaya,zahanati kila Kijiji pamoja na Kituo cha Afya kwa kila Kata.

Hayo yamesemwa na mgombea mwenza wa chama hicho Samia Suluhu Hassan wakati akimaliza ziara ya kampeni katika mkoa wa tanga ambapo amehitimisha na kuomba wananchii kukichagua chama hicho katika uchaguzi ujao.

Samia Suluhu amekuwa akisimamishwa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPTALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPTALI YA MACHAME


Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akiwa amembeba mtoto mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Kuni na kulakiwa na wananchi katika jimbo hilo.Magari ya wagonjwa yaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Hai kwa ajili ya wagonjwa jimboni humo.Mbunge Mbowe akiwa amembeba moja ya watoto waliofika uwanjani hapo kwa ajili ya kushuhudia msaada wa magari ya wagonjwa yaliyotolewa na mbunge huyo kwa watu wa jimbo la Hai.
Muonekano wa ndani wa magari hayo ya kubebea wagonjwa .Baadhi ya viongozi...

 

9 years ago

Michuzi

BI. SAMIA SULUHU AHIDI KUDHIBITI WIZI WA DAWA HOSPITALI ZA SERIKALI

Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akiwaonesha ilani ya chama hicho na kuainisha mipango mizuri ambayo imewekwa katika kuimarisha huduma katika sekta mbalimbali. Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akiwaonesha ilani ya chama hicho na kuainisha mipango mizuri ambayo imewekwa katika kuimarisha huduma katika sekta mbalimbali.Meya wa Ilala Jerry Slaa ambaye pia ni mgombea ubunge CCM Jimbo la Ukonga akizungumza katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) eneo la Kipawa jijini Dar es Salaam. Meya wa Ilala Jerry Slaa ambaye pia ni mgombea ubunge CCM Jimbo la Ukonga akizungumza katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) eneo la Kipawa jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam jana. Baadhi ya wanachama wa Chama...

 

9 years ago

StarTV

CCM ya ahidi kujenga kiwanda cha kusindika kahawa na mahindi.

Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Samia Suluhu Hassan ameahidi kujengwa kiwanda cha kusindika kahawa na mahindi kwa wakulima wa mazao hayo akiwataka kufanya maamuzi ya kumchagua mgombea Urais kupitia chama hicho Dokta John Magufuli ili aweze kukamilisha mpango huo.

Mgombea Mwenza huyo ambaye amemaliza ziara mkoani Ruvuma na kuelekea Pwani amesema hakuna sababu ya wakulima wa mazao hayo kuhangaikia soko wakati kuna uwezekano wa kuyafanya mazao hayo kuwa na thamani...

 

9 years ago

Habarileo

Samia aahidi kujenga chuo cha mafunzo Kwimba

MGOMBEA mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Jimbo la Kwimba mkoani Mwanza kuwa Serikali ya awamu ya tano ya CCM itawajengea Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) ili kuwapatia fursa vijana wa jimbo hilo kupata mafunzo ya ufundi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mghwira kujenga vyuo kila kata

Mgombea urais wa ACT Wazalendo, Anna Mghwira ameahidi kujenga vyuo vya ufundi kila kata nchini ili kuhakikisha vijana wanapata ajira na kujiajiri na kujiongezea kipato kitakachowasaidia kujikimu kimaisha.

 

9 years ago

Mtanzania

Samia aitupia dongo Wilaya ya Hai

Bi.-Samia-SuluhuPatricia Kimelemeta na Omary Mlekwa,Hai

HALMASHAURI ya Wilaya ya Hai imedaiwa kuwa miongoni mwa wilaya zinazoongoza kwa kupokea na kutoa rushwa, hali iliyosababisha baadhi ya miradi ya maendeleo kukwama.
Hayo yalibainishwa na mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Foo, Kata ya Machame Kaskazini.
Alisema fedha za miradi ya maendeleo zilizokuwa zinatolewa na Serikali hazijatumika kwa malengo yaliyokusudiwa jambo ambalo...

 

9 years ago

Vijimambo

BI. SAMIA SULUHU AMNADI DK. MAGUFULI WILAYA ZA KORONGWE NA LUSHOTO

Sehemu ya wanaCCM na wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Korogwe, Mkoa wa Tanga.Mgombea mwenza nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na wasanii na wananchi wengine alipokuwa akiwasili katika viwanja vya Shule ya Msingi Mazoezi Mjini Korogwe ambapo alifanya mkutano wa kampeni.
Mgombea mwenza nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi, Bi....

 

10 years ago

Michuzi

KILA MTU ANATAKIWA KUJENGA UADILIFU WA KUTOPOKEA RUSHWA - BALOZI SEFUE

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kujenga uadilifu kwa kila mtu katika nchi yake, ni kukataa rushwa kwa kutoa au kupokea.
Sefue aliyasema hayo katika Warsha ya Wadau ya kujadili Rasimu ya Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi,Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi iliyoandaliwa na Tume ya Maadili iliyofanyika  leo katika ukumbi wa Hoteli ya New Afrika jijini Dar es Salaam,alisema wazo la ahadi ya Uadilifu kwa viongozi,watumishi wa Umma na sekta binafsi ni...

 

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri za wilaya, manispaa zakumbushwa kujenga vyoo mashuleni

DSC08808

Mwakilishi wa shirika la WaterAid Tanzania, Dk.Ibrahimu Kabole, akitoa taarifa yake  kwenye ufungaji wa semina ya siku mbili iliyohusu usafi wa afya na mazingira iliyofanyika kwenye ukmbi wa mikutano wa Aqua vitae hotel mjini Singida.Wa kwanza kushoto ni mwenyekiti wa bodi ya SEMA, Joramu Allute na katikati ni mdau wa maendeleo na mfanyabiashara maarufu mkoa wa Singida, Salum Nagji.

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI za Wilaya na manispaa ya Singida, zimehimizwa kuhakikisha shule zao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani