WADAU WA AFYA MKOANI MBEYA WAKUTANA NA KUJADILIANA KUELEKEA SIKU YA MAADHIMISHO YA UKIMWI DUNIANI
Afisa Maendeleo ya jamii Mkoa wa Mbeya Ndugu Stellah Kategile akiwasilisha maada kwa wadau wa Sekta ya Afya Mkoani Mbeya katika kikao cha kujadili juu ya kuelekea katika siku ya maadhimisho ya Ukimwi Duniani Tarehe 1 Desemba mwaka huu.
Mrakibu wa Polisi Mkuu dawati la jinsi na watoto Mkoa wa mbeya Ndugu Debora Mrema akielezea masuala mbaliimbali yanayolikumba Dawati hilo katika kupambana na ukatili wa kijinsi Mkoani humo huku akisisitiza juu ya wadau kujitokeza na kutoa michango yao ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wadau wa afya Mkoani Mbeya wakutana kujadili kuelekea siku ya Maadhimisho ya UKIMWI Duniani !
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5PNENaKjnkI/VG9oe1FQJvI/AAAAAAAGyu8/J2sj5Yz-IZU/s72-c/tacaids%2B-%2B2.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KUFANYIKA KITAIFA MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-5PNENaKjnkI/VG9oe1FQJvI/AAAAAAAGyu8/J2sj5Yz-IZU/s1600/tacaids%2B-%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d941_g43zQk/VG9oehS20SI/AAAAAAAGyu4/Ux0guocc3dY/s1600/tacaids%2B-%2B1.jpg)
9 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI MWAKA 2015 KUFANYIKA KITAIFA DESEMBA MOSI MKOANI SINGIDA
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk.Fatma Mrisho (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka 2015 yatakayofanyika kitaifa Desemba Mosi mkoani Singida. Kulia ni Mkurugenzi wa Habari na Uraghibishi.
Na Dotto Mwaibale
MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi nchini yameongezeka kwenye kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 19 mpaka 24 tofauti na ilivyokuwa miaka minne...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WQUbL4QlA60/VHyjTdttiVI/AAAAAAADPOU/FSKDllq3KO8/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI, KITAIFA MKOANI NJOMBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-WQUbL4QlA60/VHyjTdttiVI/AAAAAAADPOU/FSKDllq3KO8/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GLHgJ0yHvMI/VHyjVfxqLQI/AAAAAAADPOg/DGyCGhrCkyo/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h219-HaQ8ck/VHy9XZTCdCI/AAAAAAAG0oc/eHc8pDVNi7k/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
MEYA WA ILALA KATIKA MAADHIMISHO YA Siku ya ukimwi Duniani
![](http://2.bp.blogspot.com/-h219-HaQ8ck/VHy9XZTCdCI/AAAAAAAG0oc/eHc8pDVNi7k/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nJqfjFqv3FU/VHy9XiPOYQI/AAAAAAAG0oY/rUiaEQdhUMI/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
9 years ago
StarTV27 Nov
Kuahirishwa kwa  maadhimisho Siku Ya Ukimwi Duniani kwapokelewa tofauti
Siku moja baada ya Serikali kutangaza kuahirisha shughuli za maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambayo yalipangwa kufanyika Kitaifa mkoani Singida mwaka huu, baadhi ya watu wanaoishi na Virusi vya ugonjwa huo wamekuwa na maoni na mitazamo tofauti juu ya uamuzi huo.
Baadhi wamepongeza uamuzi huo wa Serikali na wengine wakidai umechelewa kutolewa kwa kuwa wadau wengi walikwishaingia gharama kubwa za maandalizi na kusafiri hadi Singida kuhudhuria uzinduzi wa maadhimsiho hayo Jumatano hii...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mkoa wa Singida mwenyeji maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, Desemba Mosi mwaka huu
![DSCN5254](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSCN5254.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Wananchi wahimizwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao kuelekea siku ya Ukimwi Desemba
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI nchini Tanzania Dkt. Fatma Mrisho akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu ambayo inaadhimishwa kwa kuwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupima afya zao na kupata elimu ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo.
Na. Nyakongo Manyama- MAELEZO.
[DAR ES SALAAM] Wito umetolewa kwa wananchi kote nchini kuyatumia maadhimisho ya Siku ya UKIMWI duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo...